BASATA yalaani vitendo alivyofanyiwa msanii Zuchu jukwaani

Nilitaka kusema sio sawa. Lakini baada ya kusikia alileta siasa kwenye tamasha la muziki. Kama mtu asiyependa siasa uchwara nasupport hicho kitendo.

Hawa wasanii hawajui machungu wanayopitia wananchi. Miaka 60 ya uhuru nchi bado haina chanzo imara cha maji.
 
Ko Dole la Kati hawajaliona au Mi5 tena kwa Mama Abdul imefuta dhambi za Zuchu zote?
 
Je mbona hawaja laani ZUCHU kuchomekea siasa jukwaani au mambo ya P Didy?
 
Ila alivyoleta siasa kwenye burudani waliona sawa
 
Msanii alishindwa kufanya kazi yake Kwa kuzingatia muktadha ,kapata fundisho na wasanii wengine wajifunze kupitia kilochotokea mbeya
 
BASATA haijitambui. Msanii ndiye anapaswa kuchukuiwa hatua haraka. Walichofanya BASATA hakina weledi ndani yake bali ni maaamuzi ya kukurupuka na kutafuta kujipendekeza kwa wateule wao, bora wangekaa kimia.
BASATA wafundeni wasanii wenu, wakiendekeza huu ujinga maeneo kama ARUSHA, MARA NA MBEYA ambako raia hawapendi uongo na kujipendekeza mtakuja kuzika msanii kwa ujinga huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…