Based on true story:Jana ilibaki kidogo nife ndege john

Jana hiyo hiyo niliamua ku download tena app ya Bible nisome upya bibla na kanisani niende nafikiria kujiunga na kwaya ya vijana kanisani kwetu
Jasiri haachi asili angalia sije ukaruka na mabinti wa kwenye kwaya.
Maana Ndege John ni mjanja mjanja sana.
 
Haahaaa eti uka uninstal app ya JF wasiine nyuzi zako
Kweli ulikuwa umelewa
 
Kazi gani unayofanya inayokuruhusu kunywa ovyo ovyo hivi??..
 
zinaua vp wakati hukufwaa?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…