Based on true story:Jana ilibaki kidogo nife ndege john

Based on true story:Jana ilibaki kidogo nife ndege john

Jana hiyo hiyo niliamua ku download tena app ya Bible nisome upya bibla na kanisani niende nafikiria kujiunga na kwaya ya vijana kanisani kwetu
Jasiri haachi asili angalia sije ukaruka na mabinti wa kwenye kwaya.
Maana Ndege John ni mjanja mjanja sana.
 
Jana mida ya asubuhi hata chai sijanywa nikapita shop nikanunua pombe Kali yenye alcohol 35% nikawa nakunywa mdogomdogo naelekea kazini baadae mida ya saa tano nkatoka kazini nikarudi kijiweni kuendeleza ligi nikanunua kijini (gen) kingine ikumbukwe pombe zangu sii gharama sana buku 2500 tu au 3000 huwa sikweri.kufika mchana si ndio pombe ikapanda nikaanza kujisikia kuchemka nikanunua ubwabwa kwa mama ntilie nikaonja kidogo nikajisikia kichefuchefu ghafla mwili ukachemka ni kinyama.nikaanza kuona dunia inaranda nikaanza kuona mapigo ya moyo yanaenda Kasi ya ajabu pressure ya moyo mpaka nasikia nimelegea.nikajisemea moyoni Leo mjanja nimenaswa Leo nakufa.nikachukua simu yangu Nika uninstall fasta app ya Jf maana sikutaka nikifa wanandugu waje kuona thread nilizokuwa naanzisha.nikafuta na picha za ngono zote nilizokuwa nazo.simu ikabaki clear nikaenda sehemu nikalala hapo nasikia joto la ajabu na jasho usipime.nikapagawa mpaka nikajinyea kidogo nikaona Leo naaga dunia akapita jamaa mmoja nikamwachia wosia Nika mwambia kama nikifa naomba mpigie simu mama angu umwambie nikampa password ya simu nikamwambia nikifa ai restart simu yote.nikamtuma jamaa aniletee maji ya kunywa nilivyokunywa maji nikatulia kidogo kama usingizi ukanipitia dakika tano nikajikuta nimeamka na ile homa ikaisha nikagundua kumbe ilikuwa ni dehydration tu nikapona nikalia kwa Mungu nikamuomba msamaha kuanzia jana sirudii tena kunywa pombe
Moral of the story:kuweni makini sana wanywa pombe na wavuta sigara kwani zinaua sana Jana ndo nimegundua jinsi zinavoua.
Haahaaa eti uka uninstal app ya JF wasiine nyuzi zako
Kweli ulikuwa umelewa
 
Kazi gani unayofanya inayokuruhusu kunywa ovyo ovyo hivi??..
 
Jana mida ya asubuhi hata chai sijanywa nikapita shop nikanunua pombe Kali yenye alcohol 35% nikawa nakunywa mdogomdogo naelekea kazini baadae mida ya saa tano nkatoka kazini nikarudi kijiweni kuendeleza ligi nikanunua kijini (gen) kingine ikumbukwe pombe zangu sii gharama sana buku 2500 tu au 3000 huwa sikweri.kufika mchana si ndio pombe ikapanda nikaanza kujisikia kuchemka nikanunua ubwabwa kwa mama ntilie nikaonja kidogo nikajisikia kichefuchefu ghafla mwili ukachemka ni kinyama.nikaanza kuona dunia inaranda nikaanza kuona mapigo ya moyo yanaenda Kasi ya ajabu pressure ya moyo mpaka nasikia nimelegea.nikajisemea moyoni Leo mjanja nimenaswa Leo nakufa.nikachukua simu yangu Nika uninstall fasta app ya Jf maana sikutaka nikifa wanandugu waje kuona thread nilizokuwa naanzisha.nikafuta na picha za ngono zote nilizokuwa nazo.simu ikabaki clear nikaenda sehemu nikalala hapo nasikia joto la ajabu na jasho usipime.nikapagawa mpaka nikajinyea kidogo nikaona Leo naaga dunia akapita jamaa mmoja nikamwachia wosia Nika mwambia kama nikifa naomba mpigie simu mama angu umwambie nikampa password ya simu nikamwambia nikifa ai restart simu yote.nikamtuma jamaa aniletee maji ya kunywa nilivyokunywa maji nikatulia kidogo kama usingizi ukanipitia dakika tano nikajikuta nimeamka na ile homa ikaisha nikagundua kumbe ilikuwa ni dehydration tu nikapona nikalia kwa Mungu nikamuomba msamaha kuanzia jana sirudii tena kunywa pombe
Moral of the story:kuweni makini sana wanywa pombe na wavuta sigara kwani zinaua sana Jana ndo nimegundua jinsi zinavoua.
zinaua vp wakati hukufwaa?!!
 
Back
Top Bottom