Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Haiwezekan uende kuoga wakati ulikuwa unakata roho.Labda useme ulijipangusa na tishu baada ya kujinyea maviNiliondoka nikaenda kuoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekan uende kuoga wakati ulikuwa unakata roho.Labda useme ulijipangusa na tishu baada ya kujinyea maviNiliondoka nikaenda kuoga
Jasiri haachi asili angalia sije ukaruka na mabinti wa kwenye kwaya.Jana hiyo hiyo niliamua ku download tena app ya Bible nisome upya bibla na kanisani niende nafikiria kujiunga na kwaya ya vijana kanisani kwetu
Ulikunywa pombe gani?Viungo vililegea vyote
Haahaaa eti uka uninstal app ya JF wasiine nyuzi zakoJana mida ya asubuhi hata chai sijanywa nikapita shop nikanunua pombe Kali yenye alcohol 35% nikawa nakunywa mdogomdogo naelekea kazini baadae mida ya saa tano nkatoka kazini nikarudi kijiweni kuendeleza ligi nikanunua kijini (gen) kingine ikumbukwe pombe zangu sii gharama sana buku 2500 tu au 3000 huwa sikweri.kufika mchana si ndio pombe ikapanda nikaanza kujisikia kuchemka nikanunua ubwabwa kwa mama ntilie nikaonja kidogo nikajisikia kichefuchefu ghafla mwili ukachemka ni kinyama.nikaanza kuona dunia inaranda nikaanza kuona mapigo ya moyo yanaenda Kasi ya ajabu pressure ya moyo mpaka nasikia nimelegea.nikajisemea moyoni Leo mjanja nimenaswa Leo nakufa.nikachukua simu yangu Nika uninstall fasta app ya Jf maana sikutaka nikifa wanandugu waje kuona thread nilizokuwa naanzisha.nikafuta na picha za ngono zote nilizokuwa nazo.simu ikabaki clear nikaenda sehemu nikalala hapo nasikia joto la ajabu na jasho usipime.nikapagawa mpaka nikajinyea kidogo nikaona Leo naaga dunia akapita jamaa mmoja nikamwachia wosia Nika mwambia kama nikifa naomba mpigie simu mama angu umwambie nikampa password ya simu nikamwambia nikifa ai restart simu yote.nikamtuma jamaa aniletee maji ya kunywa nilivyokunywa maji nikatulia kidogo kama usingizi ukanipitia dakika tano nikajikuta nimeamka na ile homa ikaisha nikagundua kumbe ilikuwa ni dehydration tu nikapona nikalia kwa Mungu nikamuomba msamaha kuanzia jana sirudii tena kunywa pombe
Moral of the story:kuweni makini sana wanywa pombe na wavuta sigara kwani zinaua sana Jana ndo nimegundua jinsi zinavoua.
Zipo nyingi sanaHiyo pombe ya 2500-3000 alc 35 ni ipi
Zipo nyingi sana
Double kick
Kitoko
Smart gen
Bonanza
Diamond
Chui
Maana ake viroba au sio ?
Shilingi ngapi inauzwa nikaionjeUshapiga white wine ya value ina 20%
3000 kwa 4000Shilingi ngapi inauzwa nikaionje
Shasahau kama viroba vishakufa zamanViroba vya kwenye kichupa Cha 200 ml
Ok hio bei naimudu ngoja nikaiulizie nionje japo nilishaapa sitarudia tena kunywa pombe3000 kwa 4000
Ok hio bei naimudu ngoja nikaiulizie nionje japo nilishaapa sitarudia tena kunywa pombe
zinaua vp wakati hukufwaa?!!Jana mida ya asubuhi hata chai sijanywa nikapita shop nikanunua pombe Kali yenye alcohol 35% nikawa nakunywa mdogomdogo naelekea kazini baadae mida ya saa tano nkatoka kazini nikarudi kijiweni kuendeleza ligi nikanunua kijini (gen) kingine ikumbukwe pombe zangu sii gharama sana buku 2500 tu au 3000 huwa sikweri.kufika mchana si ndio pombe ikapanda nikaanza kujisikia kuchemka nikanunua ubwabwa kwa mama ntilie nikaonja kidogo nikajisikia kichefuchefu ghafla mwili ukachemka ni kinyama.nikaanza kuona dunia inaranda nikaanza kuona mapigo ya moyo yanaenda Kasi ya ajabu pressure ya moyo mpaka nasikia nimelegea.nikajisemea moyoni Leo mjanja nimenaswa Leo nakufa.nikachukua simu yangu Nika uninstall fasta app ya Jf maana sikutaka nikifa wanandugu waje kuona thread nilizokuwa naanzisha.nikafuta na picha za ngono zote nilizokuwa nazo.simu ikabaki clear nikaenda sehemu nikalala hapo nasikia joto la ajabu na jasho usipime.nikapagawa mpaka nikajinyea kidogo nikaona Leo naaga dunia akapita jamaa mmoja nikamwachia wosia Nika mwambia kama nikifa naomba mpigie simu mama angu umwambie nikampa password ya simu nikamwambia nikifa ai restart simu yote.nikamtuma jamaa aniletee maji ya kunywa nilivyokunywa maji nikatulia kidogo kama usingizi ukanipitia dakika tano nikajikuta nimeamka na ile homa ikaisha nikagundua kumbe ilikuwa ni dehydration tu nikapona nikalia kwa Mungu nikamuomba msamaha kuanzia jana sirudii tena kunywa pombe
Moral of the story:kuweni makini sana wanywa pombe na wavuta sigara kwani zinaua sana Jana ndo nimegundua jinsi zinavoua.
Biashara ndogondogo katika minadaKazi gani unayofanya inayokuruhusu kunywa ovyo ovyo hivi??..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ulivyojinyea ulikunya nini?