Bashe aachie Uwaziri

Kiongozi akiomba ushauri anashinikizwa ajiuzulu, asipofanya hivyo kelele kuwa wananchi hawajashirikishwa! Watanzania huwa tunaka nini haswa?
 
The
The best waziri msim huu , huyu nitampongeza kidogo ,anajua anacho FANYA , hata leo akiwa waziri mkuu nitampongeza,sema ccm mnataka vilaza ,wazuri hata kiasi hamuwataki, ukiona nimesifia ,inataka moyoni
 
Mim kama mdau wa kilimo ngoja nikatoe maoni yangu.wew unaonesha kuwa hulimi maana Kwa sisi wakulima bashe ni nabii[emoji7][emoji7][emoji7]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…