😳🙄Kuna uhaba wa malimao na ndimu katika nchi, hapa nilipo wanauza limao moja dogo 500, la kati 700 na kubwa buku! Hii haikubaliki, nimekunywa supu ya Samaki bila malimao na sasa nakula pilau yenye kachumbari bila limao!
Bashe na waziri wa biashara chukueni hatua za dharura malimao yapatikane popote hata nje ya nchi kupunguza huu uhaba.
Kwenye pilau hapo bora usingesema mana kuna huyu jamaa Moisemusajiografii ana nongwa sana kwenye masuala ya kulaKuna uhaba wa malimao na ndimu katika nchi, hapa nilipo wanauza limao moja dogo 500, la kati 700 na kubwa buku! Hii haikubaliki, nimekunywa supu ya Samaki bila malimao na sasa nakula pilau yenye kachumbari bila limao!
Bashe na waziri wa biashara chukueni hatua za dharura malimao yapatikane popote hata nje ya nchi kupunguza huu uhaba.
Tatizo hayapikwi kwenye sherehe hivyo hawajui umuhimu wake, malimau ni muhimu kuliko sukari.Kuna uhaba wa malimao na ndimu katika nchi, hapa nilipo wanauza limao moja dogo 500, la kati 700 na kubwa buku! Hii haikubaliki, nimekunywa supu ya Samaki bila malimao na sasa nakula pilau yenye kachumbari bila limao!
Bashe na waziri wa biashara chukueni hatua za dharura malimao yapatikane popote hata nje ya nchi kupunguza huu uhaba.
Kuna uhaba wa malimao na ndimu katika nchi, hapa nilipo wanauza limao moja dogo 500, la kati 700 na kubwa buku! Hii haikubaliki, nimekunywa supu ya Samaki bila malimao na sasa nakula pilau yenye kachumbari bila limao!
Bashe na waziri wa biashara chukueni hatua za dharura malimao yapatikane popote hata nje ya nchi kupunguza huu uhaba.
Ukwaju na limao ni vitu viwili tofauti, hivi sasa madhara ya kiafya yanayowapata watu kutokana na ukosefu wa kutumia malimao yanaonekana wazi.Tumia Ukwaju mpaka pale Bashe atakapo kuja kukusikiliza kilio chako.
Mkoa gan huo hakuna limao za kuelewekaIchukue kama fursa usimsubiri bashe. Mikoani yanaozea kwenye miti