DOKEZO Bashe anafahamu kama kuna uhaba wa malimao nchini? Kwanini hakuna hatua za dharula kama za sukari ?

DOKEZO Bashe anafahamu kama kuna uhaba wa malimao nchini? Kwanini hakuna hatua za dharula kama za sukari ?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna uhaba wa malimao na ndimu katika nchi, hapa nilipo wanauza limao moja dogo 500, la kati 700 na kubwa buku! Hii haikubaliki, nimekunywa supu ya Samaki bila malimao na sasa nakula pilau yenye kachumbari bila limao!

Bashe na waziri wa biashara chukueni hatua za dharura malimao yapatikane popote hata nje ya nchi kupunguza huu uhaba.
 
Kuna uhaba wa malimao na ndimu katika nchi, hapa nilipo wanauza limao moja dogo 500, la kati 700 na kubwa buku! Hii haikubaliki, nimekunywa supu ya Samaki bila malimao na sasa nakula pilau yenye kachumbari bila limao!

Bashe na waziri wa biashara chukueni hatua za dharura malimao yapatikane popote hata nje ya nchi kupunguza huu uhaba.
😳🙄
 
Kuna uhaba wa malimao na ndimu katika nchi, hapa nilipo wanauza limao moja dogo 500, la kati 700 na kubwa buku! Hii haikubaliki, nimekunywa supu ya Samaki bila malimao na sasa nakula pilau yenye kachumbari bila limao!

Bashe na waziri wa biashara chukueni hatua za dharura malimao yapatikane popote hata nje ya nchi kupunguza huu uhaba.
Kwenye pilau hapo bora usingesema mana kuna huyu jamaa Moisemusajiografii ana nongwa sana kwenye masuala ya kula
 
Kuna uhaba wa malimao na ndimu katika nchi, hapa nilipo wanauza limao moja dogo 500, la kati 700 na kubwa buku! Hii haikubaliki, nimekunywa supu ya Samaki bila malimao na sasa nakula pilau yenye kachumbari bila limao!

Bashe na waziri wa biashara chukueni hatua za dharura malimao yapatikane popote hata nje ya nchi kupunguza huu uhaba.
Tatizo hayapikwi kwenye sherehe hivyo hawajui umuhimu wake, malimau ni muhimu kuliko sukari.
 
Kuna uhaba wa malimao na ndimu katika nchi, hapa nilipo wanauza limao moja dogo 500, la kati 700 na kubwa buku! Hii haikubaliki, nimekunywa supu ya Samaki bila malimao na sasa nakula pilau yenye kachumbari bila limao!

Bashe na waziri wa biashara chukueni hatua za dharura malimao yapatikane popote hata nje ya nchi kupunguza huu uhaba.

Panda mlimao kwako kama unaona ni kitu unahitaji...

Waafrika buana...
 
Back
Top Bottom