Nimepita juzi kwenye Mradi wa BBT Dodoma Chinangali, Hakuna zao walilootesha mpaka sasa, wameishia kujenga uzio na nyumba za kuishi kama apartments! Sasa najiuliza kuna Mkulima kweli pale? Hakuna cha trekta Au watu wanapiga jembe!!? Usanii mtupu! Hii project ikaguliwe na CAG na kama kuna upigaji wahusika wawajibishwe.