Bashe jitokeze utueleze ulipofikia na BBT

Nilipita hapo chinangali pia nikaona ni kama eneo lililotelekezwa vita ya pili ya dunia
 
Nilipita hapo chinangali pia nikaona ni kama eneo lililotelekezwa vita ya pili ya dunia

[emoji16][emoji16][emoji16]
Mheshimiwa anajiandaa na uchaguzi 2025 unatarajia hela atoe wapi? Na wale vijana “wakulima wa mchongo” hawaonekani pale. Hakuna dalili ya wakulima wanaochapa kazi pale.
 
Hatimaye yametimia. Hakuna BBT wala chochote. Watu wansema lengo limetimia maana wameshaiba vya kutosha.
Wamejenga vituo vya mafuta., wamenunua kiwanda cha Tumbaku kwa pesa za wizara ya Kilimo. BBT haipo tena.

Yaani eti Bashe awe na mpango wa kilimo nchi hii, kweli? Mtu aliyesoma masoko Muzumbe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…