Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

Kwahio Samia hataki Utani.., yeye ambaye kapewa hio kazi anataka Utani ?

Yaani watu ambao tuliwategemea waje na vitu concrete na substantial solutions wamegeuka wana taarabu....; Overpaid, Underperforming Prima Donnas....
 

Kama haujaona hapo Hoja nadhani wewe ndio unaleta Vioja Waziri analeta story za utani na lack of wakati katika sekta yake watu wanakosa masoko (Vanilla et al); Pia issue ni lack of uzalishaji au bei na zenyewe sio fit kwa wakulima..., Juzi tu hapa walikuwa na ngonjera za kuuza nje mara kutokuuza n.k...., busy talking the talk..., Na wale watu waliochukuliwa kwenda kuwekwa kwenye mashamba waliishia wapi ? Au ndio Project baada ya Project kumbe mwisho wa siku Miradi ndio MIRADI

Hakikisha kuna market ya product ya uhakika kila mtu atakwenda kulima wala hatahitaji kuambiwa.., ila ndio hivyo wako busy kwenye propaganda....
 
Kama haujaona hapo Hoja nadhani wewe ndio unaleta Vioja Waziri analeta story za utani na lack of wakati katika sekta yake watu wanakosa masoko (Vanilla et al); Pia issue ni lack of uzalishaji au bei na zenyewe sio fit kwa wakulima..., Juzi tu hapa walikuwa na ngonjera za kuuza nje mara kutokuuza n.k...., busy talking the talk..., Na wale watu waliochukuliwa kwenda kuwekwa kwenye mashamba waliishia wapi ? Au ndio Project baada ya Project kumbe mwisho wa siku Miradi ndio MIRADI

Hakikisha kuna market ya product ya uhakika kila mtu atakwenda kulima wala hatahitaji kuambiwa.., ila ndio hivyo wako busy kwenye propaganda....
Hatuwezi kuwa Nchi ya kipaombele Cha Kila zao,hakuna Nchi inafanya ujinga huo hapa Duniani.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DDj_P3FujTi/?igsh=MWRybGlmeDc0aTByaA==
 
Back
Top Bottom