Bashe ulipitia JKT kweli?

Bashe ulipitia JKT kweli?

Kuna vitu vingi vya kulishauri jeshi letu, tuwashauri wanunue technology uko duniani, vijana wa jeshi waweze kutengeneza drones, HIMARS
 
yaani mkuu . tuko very shalow tuna discuss upupu tu mambo ya maana hatutii miguu kabisa
Mkuu umeingia kundi la makapuku waliozaliwa juzi?
Au kumbe ulikuwamo?
Basi ukiendelea kung'aang'aa macho kuna siku utaelewa kwanini mgambo ana mdebwedo wa sare za khaki na havai combat coumouflage suit.
 
View attachment 2298340

Hapa Waziri kayakoroga!
Tuliopitia JKT ,tena kwa mwaka mzima, tunajua kuwa huwezi kuchanganya mavazi ya kijeshi na ya kiraia.
Hapo pichani gazeti ka Guardian leo page 2, waziri kavaa Olive Military uniform , halafu na kapelo ya mtaani.

Kwa hizi military uniforms inabidi JWTZ itoe mwongozo jinsi viongozi wanapozivaa wajue protokali na discipline zake.

Ningekuwa Generali ningemwambia Bashe awahi mwenyewe Quarter Guard.
Hata Ole Sabaya alianza hivyo hivyo kisha akanogewa!
 
Mtoa hoja tafuta fedha mkuu achana na uroho mbaya na husuda, hilo vazi la waziri SIO military uniforms ya jeshi lolote hapa nchini, ni mavazi yanayofanana nayo, na after all nini athari yake?
hata kuvaa vazi linaloshabihiana na jeshi ni kosa kisheria.
 
hata kuvaa vazi linaloshabihiana na jeshi ni kosa kisheria.
Hizi ni effects za kuishi in a police state!hizi ni nguo kama nguo zingine, halafu acha uongo kusema ni kosa kisheria, sheria gani utakua umevunja?,nani mwathirika kama mimi nimeamua kuvaa camouflage clothes (sio army combat)Athenian kutishia watu kwa sheria kandamizi, kuna freedom nje kule
 
Nyie vipimbi vya juzi hamjui mtokako wala mnakoelekea.
Unakaribishwa n camouflage yako sehemu yoyote karibu na kambi na uupate mziki wa reggae!
Loooooo mkuuu, mimi nawe tufanye flash back ya maisha tuone nani ni pimbi wa juzi, nimesoma mnazi mmoja primary school(mzaliwa wa ocean road hosp)kipindi tutapata lunch twice a week, nimesomea Tambaza sec school, then mkwawa cne kipindi cha principal Mr.SA Mshana, nimeenda jkt 835kj chini ya CO col.Mtono, na nimepiga kura uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi!,na nimesikiliza music pale Iringa central bus station (kwa Mbata)na President wako (alikimbiza CM)Nami nilikuwa PC.wewe ni pimping wa juzi?weka hapa details zako
 
Loooooo mkuuu, mimi nawe tufanye flash back ya maisha tuone nani ni pimbi wa juzi, nimesoma mnazi mmoja primary school(mzaliwa wa ocean road hosp)kipindi tutapata lunch twice a week, nimesomea Tambaza sec school, then mkwawa cne kipindi cha principal Mr.SA Mshana, nimeenda jkt 835kj chini ya CO col.Mtono, na nimepiga kura uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi!,na nimesikiliza music pale Iringa central bus station (kwa Mbata)na President wako (alikimbiza CM)Nami nilikuwa PC.wewe ni pimping wa juzi?weka hapa details zako
Kwa upimbi ulio nao huweki miaka.
Sisi masella wa hiya hiya.
Nikiwekea cv hapa utatamani urudi shule!
 
Jeshi la Somalia unavaa vyovyote, wengi hata buti hawavai.
 
Mtoa mada njoo hapa utuambie hizo ni Uniform za jeshi gani?
Inafanana na ya jeshi la wanyamapoli na nadhani hii ndo ilipelekea mkuu wao kuonya watu wanaovaa mavazi yanayofanana na uniform zao, bila shaka alikuwa akimuonya Bashe.
 
Loooooo mkuuu, mimi nawe tufanye flash back ya maisha tuone nani ni pimbi wa juzi, nimesoma mnazi mmoja primary school(mzaliwa wa ocean road hosp)kipindi tutapata lunch twice a week, nimesomea Tambaza sec school, then mkwawa cne kipindi cha principal Mr.SA Mshana, nimeenda jkt 835kj chini ya CO col.Mtono, na nimepiga kura uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi!,na nimesikiliza music pale Iringa central bus station (kwa Mbata)na President wako (alikimbiza CM)Nami nilikuwa PC.wewe ni pimping wa juzi?weka hapa details zako
Achana na Hilo lofa mkuu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hivi naye ameanzisha jeshi la kilimo?
Mkuu watu wanapenda military fatigues, lakini hizo zina protokali zake.
Mtu kuvaa kapelo la mitaani na military uniform unajua kabisa hajapitia mafunzo yoyote ya kijeshi.
Humu kuna watu wana argue kuwa ni fashion kuvaa kijeshi, hata huyo Bashe aingie kambi lolote la kijeshi na avae hivyo, Quarter Guard entrance tu atafurushwa.
 
Back
Top Bottom