Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Acha porojo mbovu. Kama mnakusanya tani laki tano ya vyakula mbona mfumuko wa bei za vyakula upo juu?
====
Waziri wa kilimo Mhe.Hussein Bashe amesema uwezo wa kuhifadhi chakula umeongezeka kutoka tani laki 200,000 mpaka laki 500,000 hivyo wakati wa msimu wa kuvuna watanunua mahindi na mpunga kiasi cha kutosha ili kujiweka sawa kama kutatokea mazingira ya uhaba wa chakula.
"Mazao ya wakulima ni mali yao wanahaki ya kuyauza popote na sisi serikali hatutazuia mkulima kuuza mazao yake popote kwani kwa muda mrefu wamekuwa maskini kwa manufaa ya watu wengine"_ Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe
Serikali imesema haitaondoa mfumuko wa bei za mazao kwa kumtia umaskini mkulima bali itachukua hatua kuhakikisha kuwa mlaji naye analindwa.Pia imesema itahakikisha inaweka uwiano wa mazao ya chakula kwa kuingiza chakula sokoni kwani kama serikali huo ndio muelekeo watakaouchukua.

====
Waziri wa kilimo Mhe.Hussein Bashe amesema uwezo wa kuhifadhi chakula umeongezeka kutoka tani laki 200,000 mpaka laki 500,000 hivyo wakati wa msimu wa kuvuna watanunua mahindi na mpunga kiasi cha kutosha ili kujiweka sawa kama kutatokea mazingira ya uhaba wa chakula.
"Mazao ya wakulima ni mali yao wanahaki ya kuyauza popote na sisi serikali hatutazuia mkulima kuuza mazao yake popote kwani kwa muda mrefu wamekuwa maskini kwa manufaa ya watu wengine"_ Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe
Serikali imesema haitaondoa mfumuko wa bei za mazao kwa kumtia umaskini mkulima bali itachukua hatua kuhakikisha kuwa mlaji naye analindwa.Pia imesema itahakikisha inaweka uwiano wa mazao ya chakula kwa kuingiza chakula sokoni kwani kama serikali huo ndio muelekeo watakaouchukua.