Bashe usitetereke kama Mwigulu, Januari na Nape. Wamekuona tishio kwenye malengo yao ya Siasa ndio maana wamekushikia bango

Bashe usitetereke kama Mwigulu, Januari na Nape. Wamekuona tishio kwenye malengo yao ya Siasa ndio maana wamekushikia bango

Sana! Ukiona unapigwa mawe ujue unafanya vizuri!

Hii inanikumbusha wapumbavu na mataahira yaliyokuwa yanampiga mawe jpm.
Hahaha, ni mawazo yako lakini JPM alikuwa ana mapungufu mengi. Angalia alivyoharibu zao la korosho kwa mfano
 
Back
Top Bottom