Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Mkuu serious?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mimi nauhakika hivi vifurushi huwa hawatupi vyote kama wanavyoandika ktk menu zao, niliwahi kujiunga na kifurushi cha Voda internet cha GB 1 niliingia jf kama dk 15,fb kama dk 10,huko YouTube niliingia kucheki video ya dk 4 tu,hapohapo nikaambiwa nimebakiwa na mb 12
Wazo zuri, na umedadavua haswa japo watakwambia wameweka kifurushi cha bila ukomo. Kwa jicho la kiuchumi kwao watashuka kimapato, kinyume chake itakuwa nafuu kwa mteja.
Wananchi wananguvu kuliko hao wanaojiita wenye serikali. Tukiwa na umoja Tanzania nzima lazima tushinde kesi.Mkuu sisi wote ni walaji lakini bwana afya wetu na mlinzi wa afya zetu (TCRA) ndio huyooo anagonga glass na muuzaji je unategemea nini hapo?