Bashiri kazi ya members wa JF kwa kuangalia comment na Thread zake!

Bashiri kazi ya members wa JF kwa kuangalia comment na Thread zake!

Naondoka ngoja nikakusanye sahani za Mama ntilie nitarud baadae muda wa kudai madeni kwa makondakta huuu [emoji72][emoji72][emoji72][emoji72][emoji72][emoji72][emoji72][emoji72][emoji72]
Nimerud [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kubashiri day karibuni.

Mshana Jr - Mganga wa kienyeji

Mwifwa - Manager NGOs

GENTAMYCINE - Askari magereza keko.

Hazard FC - Kondakta Dar -Arusha

Prondo - Muuza screpa za Magari

Nalendwa -Huyu madam wa A level History

Hajar -Mother House

Aspirin -Mstaafu anasubiria mafao amekuwa dalali kijiweni.

Mama Sabrina [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

missyrose -Mama ntilie
Huyo Gentamycine ni mwandishi wa habari tena yupo EFM usimwambie mtu.
 
Back
Top Bottom