bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Nipo hapa nimejaa telemanager NGO's upo?
Pole sana Dada yangunipo mdogo wangu busy tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaha uongo kwani
Mkuu umekuja na ukali mimi sijui soma thread hajaonyesha kazi yako [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ameweka katuni sasa sijui unauza katuni?Kazi gani
Mhariri - Mkatisha tiketi kivuko cha MV DarMaxence Melo -Konda wa daladala za Mbagala kwenda Makumbusho
JamiiForums - fundi umeme
Invisible -fundi cherehani
Paw -fundi viatu
Tena Dagaa wa kigoma na nyasa sio hawa dagaa koko wa Victoria na maji chumvi.Mama Sabrina anauza duka la Dagaaa
Unamsaidia mzee kukaribisha wateja na akipandisha akaongea kiarabu wewe ndiye mfasiriSina kazi mimi nashinda jf
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Usitoboe bana
Kuuza dagaa wa kigoma na NyasaKazi gani?
Umeweka avatar nzuri sijui umeokokaDada hulali
hivi kwani umenitaarifuMuda wowote
Kipenzi changu anataka kusema maana nilimwambia nitampa kazi ofisini kwetu bila kumfanyia intaviuuu[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
nakupenda mwifwa wangu,embu njoo tu unikumbatieHata mimi sitaki kushare utamu wetu na mtu.
Vipo vya kushare ila sio utamu my kipenzi
ngoja tukatafute mtoto my wiiiNakaziaaaa
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]nakupenda mwifwa wangu,embu njoo tu unikumbatie
Haka ka @Tattum. inawezekana ni ka askari magereza au zimamotoTatizo hapa watu story nyiiiiingi,ww umeambiwa bashiri kazi ya member nilitegemea post nyingi ziweza ubashiri tu km umeamua kumbashiria Demiss basi andika tu hv
Demiss. - Dada wa Saluni
Mshana Jr --Mganga wa Jadi
Tattum. -- Askari Magereza
N.k nadhani itapendeza ikionekana hv sio story Lundo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] jaman sikiungo cha mwili tuWifiii utakula ban kaka apate gonjwa la moyoooo
Asikari magerezaGentamacinye ni desperate shushushu soon ata defect
tulale basi kipenzi[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Kipenzi changu changu una joto maridhawa kabisa