Bashiri kazi ya members wa JF kwa kuangalia comment na Thread zake!

Mmh. [emoji15] [emoji15] nyieeee.

Nawaomba baadae mje nyumbani kwa kweli. Mie nkajua mko Whatsapp. Au muda mlioandika umeshawishi hiki mlichoandika.


Davet na ukhuty msikose.
Kwani nyumbani kwenu mlikua hamjapeleka barua ya posa ya Mwifwa kwa moneytalk? Mbona unawaamuru waje nyumbani kama vile bado hamjawahalalisha?
 
Nawaona watu wa maduka ya vipodozi wanavyokimbizana na askari kuhusu vipodozi vyenye viambata vya sumu kutoka kongo, wenyewe wanasema ndio vinafaida kubwa sana na eti wateja wanavipenda! nyie hamtaki kupata faida kubwa Hajar na mwenzio?
Hahaaaa. Faida tunaitaka Sesten ila tunaangalia na afya za wateja zetu.

Wacha nikutabirie na mie Sesten wewe itakuwa boss mmoja hivi huko jijini kwa Bashite. Hahahaaaaa. Lol
 
Nakazia Usingehama chamaaaa!! Kwanza kijana damu motoooo afu manager NGO huhuhuu nabashiri tu [emoji125] [emoji125] [emoji125]


Cc Smart911
Hapana upo nje ya fikra Dada kaka angu huyo toka zaman siyo kwenye chamaaa huyooooo [emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]
 
Kwani nyumbani kwenu mlikua hamjapeleka barua ya posa ya Mwifwa kwa moneytalk? Mbona unawaamuru waje nyumbani kama vile bado hamjawahalalisha?
Tulikua hatujui kitu sisi katushtukiza tu tena Hajar alivyoona hayo maongezi ya Mwifwa alizimia ikabidi tumpepe...

Mimi nilijua simu inanidanganya au Mwifwa kapata shambulio kama lile JF ilipata ikabidi niizime alafu niwashe tena, nikaifuta app alafu nikaidownload tena..
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] naota au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…