Bashiri kazi ya members wa JF kwa kuangalia comment na Thread zake!

Hahaaaa. Kweli usemayo Davet hakuna la uongo hapo.

Sesten Zakazaka
 
Hahahaaaa. Itabidi na mie nije huko tuvuje jasho wote Sesten sababu nipo home tu sasa sina pirika. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahahahaa Hajar, dunia ya kuvuja jasho ni dunia ya wanaume mamii, ni dunia ya mapambano na ni dunia ngumu sana, japo wanawake nanyi siku hizi hamtaki kuachwa nyuma katika kutafuta ugali, hamtaki kusubiri kuletewa mkiwa mmekaa tu nyumbani, na nyie mnataka muingie uwanja wa mapambano kama wanaume mtafute wenyewe......hahaaa ingekua amri yangu ningewaambia subirini kwanza lakini dunia yote itanicheka na kuninyooshea kidole kua nina mawazo ya kupinga maendeleo ya wanawake, haya karibu Hajar kwenye mapambano ya kuvuja jasho kuisaka noti
 
Hahaaaa. Inabidi tu sasa sababu tukiwaomba pesa zenu mnatusimanga mpaka basi ndio maana na sisi tunaona tutafute tu za kwetu Sesten.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…