Bashiri kazi ya members wa JF kwa kuangalia comment na Thread zake!

Cjakuelewa mkuu
Wewe umejiunga JF kwa ID hii mnamo January 31, 2018. Jee umejuaje kama zamani JF ilikuwa na mada nzito na zenye hoja nzuri kuliko sasa?

Naomba ufafanuzi hilo ndio lilikuwa lengo langu la kuhoji ID yako ya zamani maana inaelekea JF umeijua zamani kiasi kwamba unajua utofauti wa zamani na sasa katika mada zinazoletwa humu
 
Swali zuri kwanza jf nimejiunga 2009 kwa Mara ya kwanza miaka miwili baada ya jamboforum hii I'd mpya ni ya juzi tu

Pia ujue kuna wanaoperuzi jf frii bila kuwa members humu

Jf ilikuwa enzi hizo sio sasa tafuta thread za 2008 linganisha na hizi zetu

NB where is faiza foxy
 
wewe unanifurahishaga sana hivi wewe si ndo yule wa kukwiba hotel?
 
Ni tatizo la wengi wanaohisi ni wakongwe kuamin ukiwa mgeni JF kwa maana ya membership bas hukua unaijua JF bila kujua kua whether ni memba au sio bado unaweza kufuatilia kila kinachoendelea hapa shida ni kua huwezi kuchangia mijadala.. Ila pia JF iko kwenye social networks zingine.. Nashauri tuache huu ushamba wa kuona mtu kachangia usiporidhishwa na mchango wake unafukunyua taarifa zake ukikuta kajiunga siku za karibuni inakua ndo fimbo ya kumchapia ukimpublish kama mtu asiejua chochote kisa ni mgeni bila kujua yeyote anaweza kufuatilia na kuona yanayoendelea hapa hata kama sio member.. After all JF inapatikana bure FREE BASICS kwa wanaotumia Opera mini
 
Hakika penye wengi hapaharibiki jambo......
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…