hahaha mm nimesoma saint kayumba zoote [emoji1][emoji1]hahaa mkuu wewe c unesoma international school hiyo misamiati huwezi kuipata huko ktika hizo shule zenu aisee...
Sawanikama unavyoiona Pesa tu mkuu. nikitu ambacho kinautajiri wa misamiati "" Pesa (fedha) hela .mkwanja .mshiko .etc
Habari za majukumu wakubwa na wadogo.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
* Ushimen: ni mtu wa kawaida hapendi kujaa hasira sana.
* Mshana Jr: huyu nilishakunywa nae soda sina haja ya kubashiri.
* @Bujibuji: hapendi kucheka cheka lakini hata hivyo hana hasira za karibu mpaka umkere.
* Daby: hapendi kukera ila ukimkera uvumilivu hana anaweza kukuvuruga mbavu.
* Kasie: huyu mama ni mzee lakini anapenda sifa sifa ukimsifia umemdaka.
Gentamycine: hana shida na mtu anapenda kuficha hasira zake lakini zenyewe zinafika kipindi zinamzidia.
Shunie: ni mcheshi mcheshi kidogo sio sana na pia hana tabia ya kuzira ovyo ila anaweza kukupeleka kuzimu ukipitiliza.
Emmyta: Ana wivu sana sema anaficha kidogo ila anaweza kukuuwa kwa wivu.
Wangu ni hao kama unawajua wengine ongezea...
Mzigua wa Nyani[emoji20][emoji20]
Watu na maupendo yenuuuuShe is a keeper!
HawanijuiiiiTabia zako hawajazimaliza, nimesikitika Sana, watu kumbe hawakujui.
Ngoja namimi niuchuneHawanijuiiii
hahaa kama ndivyo usingekosa kuijua misamiati kama hiyohahaha mm nimesoma saint kayumba zoote [emoji1][emoji1]
Sigombei mwanamke na Mshana mm...Mshana anajigombania mwenyewe ulozi wake[emoji41]Unaemgombea na Mshana
[emoji20][emoji20][emoji20]Mzigua wa Nyani
Demiss wa mshana
Poyeeeeeeeeeee
Unataka unitafune mara ngapi?Nimekuacha lini mama naniliu?
Huwa siachagi kabla sijatafuna.....wink wink!
[emoji7][emoji7][emoji7]She is a keeper!
Bby acha woga.
Unataka unitafune mara ngapi?
Hatariii. Nyani Ngabu una mahaba usinitege mie nikategeka bureeWatu na maupendo yenuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaa silly you!