Bashiri mtu/watu kwa mujibu wa thread zake jinsi alivyo.

Yan Mwifwa ndo kila kitu kwangu ndo ananijua vilivyo mdogo wake
 
Kweli kabisa.. Nimekujudge kwa thread zako tu cha mdeko.. Afu nilisahau sio kwa kukatika kunako 6*6[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]


Cc Smart911
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Siku nikijichanganya kidume kimoja kikatumwa kuja kuniteka hapa jf nahisi ataleta mrejesho wa hii sifa
 
hapo kwa The List umenikuna koo mnooo Jamaa ana akili nyingi mnooo ila anapenda kuficha uwezo wake alionao hahaaa anamisimamo Yale nahapndi kuyumbishwa na mtu

though nafurahishwa na uwepo wa Witnes
emmyta
Shunie
Jolie Jolie
Demiss
Avatar mok
Mwifwa
Mr Miller
Nalendwa genius girl
BAK
NAHUJA
kapeace
mahondaw wewe nimekuweka tu hapa lakini na kumind ile mbaya maana sio kwa kumpaka Rangi smart kiasi Kile

list nikubwa kwakweli but nawakubali wengi mnooo. nakinachonifnya niwakubali nimichango yao wanayoitoa kimawazo inayosaidia kuifnya jf izidi kuwa na umri mrefu"" tabia zao nikupenda kwao kuwa active JF kila wakati "" nashindwa kuelezea sifa ya kila mtu mmoja mmoja kwa sbabu list nikubwa nahisi nikianza kuelezea hapa nitajikuta nime type MWANANCHI GAZETI
 
Tupe na sifa zao mmoja mmojaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umeona lakin mwenzio napendwaaa yan napendwaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…