[Bashiri]: Sam Mahela kumfuata Godwin Gondwe

Mi nabeti Dida Shaibu na bonge wa clouds
 

is he good in trading information? did he have lead from dikteta uchwara adminstration?

if yes nacopy mkeka wako
 
Kitu Adam Mchomvu, huyu wampe mkoa kabisaa
 
Soudy brown na Kwisa hawa ni kipenzi cha mkulu nadhani anawafikiria mmoja wao anaweza kuwa mkuu wa mkoa wa dsm maana Kangi alishaanza kumpunguzia ulinzi DAB.
 
Kitakachomwangusha mahela ni mkorogo,mwanaume anayejiamini hawezi kujichubua ngozi yake,ujinga mtupu!
 
Buhohela yuko wapi?
Buhohela yuko ikulu, ameajiriwa mara baada ya kufanya kazi nzuri ya kumnadi Dr.Magufuli(kumripotia ITV) wakati ule wa kampeni kwenye uchaguzi mkuu wa 2015.
 
Kitakachomwangusha mahela ni mkorogo,mwanaume anayejiamini hawezi kujichubua ngozi yake,ujinga mtupu!
Nadhani hiyo ni set back, anatakiwa kusaidiwa na yupo extreme kwenye some of issues.
 
mahela chakula ya wana... labda kama kuna mkuu wa mcc anakula atapewa tuu. bwabwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…