Bashiru Ally Kakulwa mwanataaluma ya sayansi ya siasa asiyejua siasa

Bashiru Ally Kakulwa mwanataaluma ya sayansi ya siasa asiyejua siasa

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Huyu so mwingine ni a Bashiru Ali kakulwa. Huyu bwana Hana kitu kichwani kabisa sijui ile GPA aliipataje labda alivua Pichu au alikalili tu.

Yeye anajua kufokafoka tu Hana ushawishi kabisa.

Hivi ile shule ya uongozi waliyoianzisha na polepole imeishia wapi, au ndo dhana ile ile kwamba hawana kitu kichwani?
 
Practical politics hajui na mbaya zaidi huwa haifundishwi na haiandikwi popote pale na mbaya zaidi mwendazake alimjaza sana !!
 
Mada yako inakosa muunganiko wa uliyekusudia kumuelezea. Kuna maswali kibao? Kwann unasema hivo? Dr.Bashiru amefoka lini? Kafoka wapi? Kwankafoka?

Polepole anaingiaje kwenye mada hii ya Bashiru?
 
Huyu so mwingine ni a Bashiru Ali kakulwa. Huyu bwana Hana kitu kichwani kabisa sijui ile GPA aliipataje labda alivua Pichu au alikalili tu.

Yeye anajua kufokafoka tu Hana ushawishi kabisa.

Hivi ile shule ya uongozi waliyoianzisha na polepole imeishia wapi, au ndo dhana ile ile kwamba hawana kitu kichwani?

Umekula?
 
Unadhani atakujibu kwa haya unayoyaongea. Kwanza inaoneka kichwani wewe hazimo. Aliyekuambia siasa ni kupiga kelele ni nani.
 
Huyu so mwingine ni a Bashiru Ali kakulwa. Huyu bwana Hana kitu kichwani kabisa sijui ile GPA aliipataje labda alivua Pichu au alikalili tu.

Yeye anajua kufokafoka tu Hana ushawishi kabisa.

Hivi ile shule ya uongozi waliyoianzisha na polepole imeishia wapi, au ndo dhana ile ile kwamba hawana kitu kichwani?
Hivi kwenye siasa unadhani yeye na Mnyika nani ana-perform zaidi? Kuna theories (mostly outdated former Russian and Chinese political theories kwa case ya Bashiru) na practicals (fieldwork kwa case ya Mnyika) who performs better? In short, Bashiru hajui siasa acheni kumpa promo asiyostahili.
 
Huyu so mwingine ni a Bashiru Ali kakulwa. Huyu bwana Hana kitu kichwani kabisa sijui ile GPA aliipataje labda alivua Pichu au alikalili tu.

Yeye anajua kufokafoka tu Hana ushawishi kabisa.

Hivi ile shule ya uongozi waliyoianzisha na polepole imeishia wapi, au ndo dhana ile ile kwamba hawana kitu kichwani?
Watu wana akili nyingi tu. Kinachowaharibia ni kutanguliza tumbo mbele.
 
Siku hizi kila msomi anajiona yeye anajua kuliko mwenzake, ama kweli elimu ndogo ni ugonjwa.
 
Huyu so mwingine ni a Bashiru Ali kakulwa. Huyu bwana Hana kitu kichwani kabisa sijui ile GPA aliipataje labda alivua Pichu au alikalili tu.

Yeye anajua kufokafoka tu Hana ushawishi kabisa.

Hivi ile shule ya uongozi waliyoianzisha na polepole imeishia wapi, au ndo dhana ile ile kwamba hawana kitu kichwani?
Wewe si comrade wake kamuulize
 
Back
Top Bottom