Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Hii sio kawaida kabisa katibu mkuu kiongozi kuhudumu kwa muda wa mwezi mmoja tu.
Japokuwa aliyemteua aliaga dunia kwa mapenzi ya Mungu hii sio kawaida, ni sawa na mtu alikuwa anaviziwa itokee bahati mbaya ili avurumishwe nje.
Katibu mkuu kiongozi ni nafasi nyeti na kubwa sana hapa nchini. Mtu kuitumikia kwa mwezi mmoja kisha akaandoshwa kuwa hafai sio jambo la kawaida.
Je, wahafidhina wa chama tawala walikuwa hawamtaki? Ila aliyemteua alilazimisha.
Japokuwa aliyemteua aliaga dunia kwa mapenzi ya Mungu hii sio kawaida, ni sawa na mtu alikuwa anaviziwa itokee bahati mbaya ili avurumishwe nje.
Katibu mkuu kiongozi ni nafasi nyeti na kubwa sana hapa nchini. Mtu kuitumikia kwa mwezi mmoja kisha akaandoshwa kuwa hafai sio jambo la kawaida.
Je, wahafidhina wa chama tawala walikuwa hawamtaki? Ila aliyemteua alilazimisha.