Hapo chini ndipo kwenye jibu sahihi. Na binafsi naungana na hao Wahafidhina! Maana vyeo vya kiutumishi na kitaalamu, vilichezewa sana kwenye utawala wa Hayati!
Haiwezekani Mtu ameshindwa kwenye mchakato wa kura za maoni, anazawadiwa Ukurugenzi wa Halmashauri! Huku wakuu wa idara waking'azang'aza tu macho.