Bashiru anafaa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA. Ufipa changamkeni

Bashiru anafaa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA. Ufipa changamkeni

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.

Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.

Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
 
Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu
Unamaanisha CHADEMA hakuna mtu awezae kugombea nafasi hii ...!! Mbona wanifikilisha mengi ?
 
Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.

Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.

Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
bashiru ni mwanachama hai wa CUF, ni kijana wa Lipumba na late Maalim Seif. Kama si CUF basi chama anachostahili kwenda ni ACT-Wazalendo. CCM ya jpm ilijiingiza mkenge tu.
 
Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.

Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.

Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
Kwamba CDM Haina mgombea Hadi sasa.

Yaezakuwa Kweli.
 
Unamaanisha CHADEMA hakuna mtu awezae kugombea nafasi hii ...!! Mbona wanifikilisha mengi ?
Wanaofaa hawana nguvu kisiasa na wenye nguvu kisiasa wana elimu duni. Lissu angefaa tatizo ana jazba na hana haiba ya urais. Mbowe kugombea itakuwa ngumu kwasababu yeye kama mmiliki wa chama itamletea shida kibiashara.
 
Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.

Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.

Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.

Nadhani huna taarifa. CHADEMA wamesema hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025.
 
Wanaofaa hawana nguvu kisiasa na wenye nguvu kisiasa wana elimu duni. Lissu angefaa tatizo ana jazba na hana haiba ya urais. Mbowe kugombea itakuwa ngumu kwasababu yeye kama mmiliki wa chama itamletea shida kibiashara.

Mwambie mama yako alete umeme na maji. Na ashughulikie mfumuko wa Bei. Mambo ya CHADEMA waachieni wenyewe.
 
CHADEMA hawashiriki uchaguzi mkuu wa 2025. Mbona mnalazimisha.
Usiwanukuu vibaya,

Wamesema bila TUME huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA ndo hawatoshiriki uchaguzi.

Ikiwa Serikali ikasikia, watashiriki.

Bt binafsi sikuona uchaguzi ukifanyika Kwa Serikali hii 2025 sababu kuu ni time ya ukamilishwaji wa KATIBA mpya.
 
Tutoeni majibu ya hoja ya huyu mwamba wa siasa tuache kuchachawa, ni lini kasema anaitaka CDM? yeye ni mwana CCM mwenzetu na atafia humu humu CCM.

Tunajua ana mapungufu mengi ila hayafanyi hoja yake isijibiewe, so far hakuna Kada yoyote wa chama chetu aliyetoa majibu ya huyu nguli wa siasa.

CCM sasa iwe tayari kukosolewa, ni muda sasa wa kujisahihisha, ni muda sasa wa kujivua gamba - Chama kisichokubali kukosolewa basi kina shida kubwa ndani yake.
 
Huyo Mkomunisti mnataka aturudishe kwenye zama na kuvalishana Katambuga?
 
Kwa hiyo akigombea urais kupitia cdm
Anauchukua urais [emoji1]

Ova
 
Kwa hiyo akigombea urais kupitia cdm
Anauchukua urais [emoji1]

Ova
Mzee wa Kino si unaona mitandaoni karibu makada wote maarufu wa CHADEMA wanapost kuhusu Bashiru bila kujua wanacheza ngoma ya CCM? Sisi wengine tunapost kuwaongezea agenda
 
Wanaofaa hawana nguvu kisiasa na wenye nguvu kisiasa wana elimu duni. Lissu angefaa tatizo ana jazba na hana haiba ya urais. Mbowe kugombea itakuwa ngumu kwasababu yeye kama mmiliki wa chama itamletea shida kibiashara.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom