ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,449
- 1,708
We nae popoma, unafikirishwa na huyu kitunguu swaumu.Unamaanisha CHADEMA hakuna mtu awezae kugombea nafasi hii ...!! Mbona wanifikilisha mengi ?
Don't reveal your stupidity publicly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nae popoma, unafikirishwa na huyu kitunguu swaumu.Unamaanisha CHADEMA hakuna mtu awezae kugombea nafasi hii ...!! Mbona wanifikilisha mengi ?
Ndio nishakua popoma hapo!?We nae popoma, unafikirishwa na huyu kitunguu swaumu.
Don't reveal your stupidity publicly
Lisemwalo lipoLema si anasema Bashiru ndie alikuwa kinara wa kununua wapinzani kwenda kuunga mkono juhud za maendeleo??
Shindwa Pepopunda!!Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.
Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.
Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
Chaguo letu la kwanza ni Tundu Antipass Lissu wa pili ni Freeman Mbowe.Lakini ndo chaguo bora walilo nalo CHADEMA kwa sasa.
Bashiru hana hela kama Lowasa.Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.
Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.
Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
lumumba badala ya kumuweka awe mgombea wenu huko lumumba mmebaki na upoyoyo wenu halafu mnategemea aje ashindane na lissu hahahaaa vichaa wa lumumba hamtaisha.Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.
Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.
Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
chama chenu cha ccm mmiliki mamayenu amewaagiza machawa wake mumpinge bashiru ili kisimfie .Wanaofaa hawana nguvu kisiasa na wenye nguvu kisiasa wana elimu duni. Lissu angefaa tatizo ana jazba na hana haiba ya urais. Mbowe kugombea itakuwa ngumu kwasababu yeye kama mmiliki wa chama itamletea shida kibiashara.
huyo mshindanishen na mamayenu huko lumumba makapi mliyoyanunua yote yamechuja.Lakini ndo chaguo bora walilo nalo CHADEMA kwa sasa.
Kwa maana hiyo hawana mgombea hadi wasubiri Dr Bashiru afukuzweHatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.
Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.
Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
Huchoki huu umalaya wako kutwa kucha wewe na Chadema tu huko CCM hakuna wanaume wa kushusha hilo joto lako?Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.
Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.
Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
Unamdhalilisha Rais Samia kwa kutumia jina lake na picha yake huku unajitungia post za kimalayamalaya na mods nao wanaona sawa Rais kudhalilishwa namna hii.Wanaofaa hawana nguvu kisiasa na wenye nguvu kisiasa wana elimu duni. Lissu angefaa tatizo ana jazba na hana haiba ya urais. Mbowe kugombea itakuwa ngumu kwasababu yeye kama mmiliki wa chama itamletea shida kibiashara.
Wewe kahaba hakuna Chadema wa kumuunga mkono huyu Mhutu aliyeshirikiana na Magufuli kuiba kura na kuharibu mchakato mzima wa uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu uliopita. Sisi tunachofanya ni kuchochea kuni ili muuane kabisa malaya wakubwa nyie huko CCM.Mzee wa Kino si unaona mitandaoni karibu makada wote maarufu wa CHADEMA wanapost kuhusu Bashiru bila kujua wanacheza ngoma ya CCM? Sisi wengine tunapost kuwaongezea agenda
Ulishampikia mmeo?Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.
Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.
Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
Huyu huyu aliyeshirikiana na Jiwe kuteka na kuwamaliza wanachama wa chadema au Bashiru mwingine ?Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.
Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.
Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
Punguza matusi wewe bintiHuchoki huu umalaya wako kutwa kucha wewe na Chadema tu huko CCM hakuna wanaume wa kushusha hilo joto lako?
Punguza matusi wewe binti.Unamdhalilisha Rais Samia kwa kutumia jina lake na picha yake huku unajitungia post za kimalayamalaya na mods nao wanaona sawa Rais kudhalilishwa namna hii.
Mama hana mpinzani 2025Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake linaloendelea. Mimi kama mtu ninayependa kuona upinzani unastawi basi ninawasihi ndugu zangu kwa kipindi hiki muendelee hivyohivyo kumtetea Bashiru ili siku akiachia ngazi iwe rahisi kwenu kumwomba awe mgombea wenu wa urais 2025.
Baada ya Ndugai kuachia uspika niliona pia angefaa kusajiliwa na Ufipa kuwa mgombea wao ila bado Spika mstaafu ana mapenzi sana na CCM hivyo uwezekano wa kuhamia Ufipa ni mgumu. Mzee Badhiru atawafaa kwa sababu pia alikuwa mpinzani kwa muda mrefu.
Ikishindikana kwa hao wawili basi subirini 2025 kwasababu kuna makada wa CCM wasio na subira watasusa na kutimkia upinzani baada ya majina yao kutopitishwa kugombea. Pale mtapata mgombea urais bila shida.
Malaya mzee wewePunguza matusi wewe binti.