Bashiru imebaki stori tu

Nani atatusaidia kuujua ukweli ulivyokuwa baada JPM kufariki? ...nini kilijiri hasa Bashiru na SG?
kaka hizi ndizo siri za Serikali. Sasa werevu kama sisi aka wazee wa kunusu tunajua nini kilifanyika ule muda wa ugonjwa wa JPM mpaka msiba kutangazwa.
 
Dhambi inamtafuna
 
Atatumia Dola balabara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…