Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Mkuu, kazikwe naye!Yako empty sana vichwani haya majitu, JPM atawatesa sana.
Kuna ukweli hapoBashiru alikuwa kama makatibu wakuu wote wa CCM walivyokuwa na watakavyokuwa. Hana tofauti na wengine, namkubali pale alipotilia shaka uwezo wa SSH kuwa Rais. Sikubaliani na Ndugai ila kwenye kuhoji uwezo binafsi wa Rais ni suala la msingi.
Mpaka sasa sioni kama SSH ndio Mtanzania kati ya watu zaidi ya milioni 60 anayefaa kuwa Rais. Katiba iliruhusu vile basi hakuna namna. Kama ni ajira mbona Kikwete alizitoa nyingi ila bado tulimlaumu. Unless tusijue tunataka nini kama taifa
Nyie wapumbavu ndio maana fatuma anawaita nyumbuWatwana wa jiwe mna hasira sana this time dadeeeekiiiii
Who is jpm? A killer who aimed to kill every one by saying "No intimacy kill every one" (N.I.K.E)Yako empty sana vichwani haya majitu, JPM atawatesa sana.
"Siku ukishatoka hurudi!"Alitamba sana enzi za Jiwe.
Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.
Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.
View attachment 2252898
Bashiru hajuti kutoka Chuo, maana tangu atoke chuo mpaka sasa hivi, ametengeneza hela nyingi kuliko Vice Chancellor yeyote aliye wahi kuongoza Chuo hicho! Na hiyo ni kwa muda mfupi wa miaka 7 tu! Hapa naongelea pesa halali - marupu rupu, kiinua mgongo, na mishahara iliyo ambatana na kazi zake! Pia amepewa heshima kubwa na ulinzi indefinitely - kutokana na kazi na heshima aliyo nayo. Hivyo usijipime kwa Bashiru ana ngekewa ya ajabu - tena bado hajazeeka!anajuta bora angebakia na heshima yake pale Chuo, ila kwa sasa hiiii !!!
Lini imetoka taarifa ya Daniel Chongolo kutenguliwa uDC?Una uhakika??
Kwa sababu aliteuliwa Katibu mkuu kiongozi kabla haijatoka taarifa ya kutenguliwa kama Katibu mkuu wa CCM!
Kuwa na fedha bila kuheshimika katika jamii yako unayoishi ni sawa na kuwa na kitambi bila kuwa na uhakika wa fedha.Bashiru hajuti kutoka Chuo, maana tangu atoke chuo mpaka sasa hivi, ametengeneza hela nyingi kuliko Vice Chancellor yeyote aliye wahi kuongoza Chuo hicho! Na hiyo ni kwa muda mfupi wa miaka 7 tu! Hapa naongelea pesa halali - marupu rupu, kiinua mgongo, na mishahara iliyo ambatana na kazi zake! Pia amepewa heshima kubwa na ulinzi indefinitely - kutokana na kazi na heshima aliyo nayo. Hivyo usijipime kwa Bashiru ana ngekewa ya ajabu - tena bado hajazeeka!
Kuwa na fedha bila kuheshimika katika jamii yako unayoishi ni sawa na kuwa na kitambi bila kuwa na uhakika wa fedha.
TISS wanamwangalia tu!?Labda arudi kwao Burundi
SSH asifae kuwa rais kwa sababu gani? Sasa hv wapinzani na serikali wanaongea lugha moja ndio tunachotaka sio yale maisha ya kuishi kiuoga uoga kama tupo uhamishoni..Bashiru alikuwa kama makatibu wakuu wote wa CCM walivyokuwa na watakavyokuwa. Hana tofauti na wengine, namkubali pale alipotilia shaka uwezo wa SSH kuwa Rais. Sikubaliani na Ndugai ila kwenye kuhoji uwezo binafsi wa Rais ni suala la msingi.
Mpaka sasa sioni kama SSH ndio Mtanzania kati ya watu zaidi ya milioni 60 anayefaa kuwa Rais. Katiba iliruhusu vile basi hakuna namna. Kama ni ajira mbona Kikwete alizitoa nyingi ila bado tulimlaumu. Unless tusijue tunataka nini kama taifa
Unateseka wewe unayeweza kumuona mtu ambaye yuko mafuvu tupu ana uwezo wa kutesa watu, maanake ni unajtambulisha kuwa wewe umeshageuzwa msukule wakeYako empty sana vichwani haya majitu, JPM atawatesa sana.