Kutoka kila mtu anatoka. Swala ni unatokaje ktk hali ganiHata hawa waliopo nao watatoka tu ni suala la muda tu, wakilijua hilo haliwafanyi kuacha kutimiza majukumu yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka kila mtu anatoka. Swala ni unatokaje ktk hali ganiHata hawa waliopo nao watatoka tu ni suala la muda tu, wakilijua hilo haliwafanyi kuacha kutimiza majukumu yao.
😅😅😅Sasa hivi yupo kama Makonda
Huyo alikuwa tahira,alijitesa mwenyewe na uzezeta wake wa kuidharau Covid19,hatma yake likapotelea chini ya ardhiYako empty sana vichwani haya majitu, JPM atawatesa sana.
Labda alipewa ubalozi wa nyumba kumi. Naona wenzake hawamuiti hivyo.Hivi PREFIX ya "BALOZI" anaitumia au alinyang'anywa na hadhi ya ubalozi kama alivyofanyiwa KIDATA?
Hilo ndio la muhimu.Wanatimiza majukumu yao kwa nidhamu na kuheshimu watanzania.
Hata akichukua fomu wajumbe watamkwanyulia mbalikazi apete wapi, anakula za Ubunge za mwisho mwisho.
Ni kweliAlitamba sana enzi za Jiwe.
Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.
Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.
View attachment 2252898
Ni majangili tupuUmeonaeeeee?
Halina hata aibuSasa hivi anslia na kusaga meno
Kwa jina unalotumia inatosha kabisa kujua ni walewale waendekeza ukabila,Yako empty sana vichwani haya majitu, JPM atawatesa sana.