Uchaguzi 2020 Bashiru: Kuna mtu unakuta ndani ya miaka mitano tu kapata vyeo vikubwa viwili kwa mpigo halafu kabla hajakomaa pale, anataka Ubunge. Sigombei

Uchaguzi 2020 Bashiru: Kuna mtu unakuta ndani ya miaka mitano tu kapata vyeo vikubwa viwili kwa mpigo halafu kabla hajakomaa pale, anataka Ubunge. Sigombei

Artificial intelligence naona matusi na kebehi kwa Waafrika yamekutoka bila sababu ya msingi! Wewe mwenyewe hapo uliyebahatika kupata elimu na maisha mazuri kidogo una ndugu zako wengi tu wanasota huko kijijini! Halafu leo unakuja hapa na dharau na kebehi kwa Waafrika wenzio kumbe hata wewe ni wale wale. Kwa dharau na matusi hayo akili hizo za kishenzi anazo nani?

Soma uone kama nilichoandika kina uongo hata moja sio unakaa kurukia mambo. Ita matusi ila ukweli ni ukweli, akili za kishenzi unazo wewe
 
Soon huyu katibu na mwenzake watanyamazishwa
Kaeni mkao wa kula

Ova
 
Hahahaha aibu kubwa sana hii. Wanamuogopa Makonda utadhani ukoma dadeeeki
Halafu ingekuwa mwingine wangemtaja hadharani Ila huyo wanagugumia tuu kwa maumivu.
Nimeamini Bashite anajua siri kadhaa nzito (au wameshirikiana) hivyo wanaogopa atabwatuka wakienda naye kibabe kama Pompeo alivyo fanya.
Ni wazi hawamtaki sasa lakini wanamuogopa. Ila Bashite ajue katika hali kama hiyo yuko kwenye msitari kati kati one wrong step, tutaimba parapanda
 
Soon huyu katibu na mwenzake watanyamazishwa
Kaeni mkao wa kula

Ova
Kitu kimoja pengine wengi hawajakijua. Bashite anatisha sana ndani ya chama na serikali. Anachukiwa sana na watendaji wote kasoro mteuaji na kachokwa na wote.
Lakini hakuna wa kumsema vikaoni wala hadharani. Ila sasa mteuaji naye kuna kitu kashtuka mtoto habebeki na amegundua hamuhitaji sana huyo mtoto kuliko hawa wengine, amejifunza toka hekaheka za jasusi mbobezi kuwa bila msaada wa hawa viongozi wengine angeweza rudi kijijini kupumzika mapema na mtoto anamkosanisha nao.
Yeye hamuwezi mtoto kesha kuwa kama samaki mkavu hakunjiki anaogopa atamvunja.
Kawatuma Mama mkuu, Bashiru na Polepole waseme wao. Hiyo inaitwa Peleka salamu!
 
CCM kila kitu wanafanya kwa maslahi ya mwenyekiti na chama, hakuna sehemu utaona wanasema kwa maslahi ya watanzania. A gang of wicked selfish monsters wanajali matumbo yao tu. Nchi iko palepale haiendelei. Africans kazi ipo sana kutoka kwenge umaskini sio leo wala kesho kwa akili za kishenzi hivi
Umepwaya njoo tena , WB wanatambua , ADB wamesalute , kubali yaishe .
 
Back
Top Bottom