ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 734
Artificial intelligence naona matusi na kebehi kwa Waafrika yamekutoka bila sababu ya msingi! Wewe mwenyewe hapo uliyebahatika kupata elimu na maisha mazuri kidogo una ndugu zako wengi tu wanasota huko kijijini! Halafu leo unakuja hapa na dharau na kebehi kwa Waafrika wenzio kumbe hata wewe ni wale wale. Kwa dharau na matusi hayo akili hizo za kishenzi anazo nani?
Soma uone kama nilichoandika kina uongo hata moja sio unakaa kurukia mambo. Ita matusi ila ukweli ni ukweli, akili za kishenzi unazo wewe