ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 734
Artificial intelligence naona matusi na kebehi kwa Waafrika yamekutoka bila sababu ya msingi! Wewe mwenyewe hapo uliyebahatika kupata elimu na maisha mazuri kidogo una ndugu zako wengi tu wanasota huko kijijini! Halafu leo unakuja hapa na dharau na kebehi kwa Waafrika wenzio kumbe hata wewe ni wale wale. Kwa dharau na matusi hayo akili hizo za kishenzi anazo nani?
Halafu ingekuwa mwingine wangemtaja hadharani Ila huyo wanagugumia tuu kwa maumivu.Hahahaha aibu kubwa sana hii. Wanamuogopa Makonda utadhani ukoma dadeeeki
Kitu kimoja pengine wengi hawajakijua. Bashite anatisha sana ndani ya chama na serikali. Anachukiwa sana na watendaji wote kasoro mteuaji na kachokwa na wote.Soon huyu katibu na mwenzake watanyamazishwa
Kaeni mkao wa kula
Ova
Umepwaya njoo tena , WB wanatambua , ADB wamesalute , kubali yaishe .CCM kila kitu wanafanya kwa maslahi ya mwenyekiti na chama, hakuna sehemu utaona wanasema kwa maslahi ya watanzania. A gang of wicked selfish monsters wanajali matumbo yao tu. Nchi iko palepale haiendelei. Africans kazi ipo sana kutoka kwenge umaskini sio leo wala kesho kwa akili za kishenzi hivi