Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Hii kauli ameisema Tundu Lissu mara mbili akimhusisha Bashiru Ally Katibu mkuu huyu wa ccm...
Mosi ni pale Bashiru alipomdhihaki Mh Lissu juu ya sera yake ya Uhuru akirudia alichokisema Mkapa 2015 akisema Tanzania tayari iko huru kwa nini lissu anazungumzia Uhuru?
Bila ajizi na bila kupepesa Mh Lissu akitumia kipawa chake cha hali ya juu akamfundisha Bashiru na watz maana ya Uhuru akimnukuu Baba wa taifa kwenye kitabu chake cha Uhuru na Umoja alichokiandika baara ya tz kupata uhuru 1961. Lkn pia alirejea azimio la tz kuingiza kwenye katiba yake maswala ya Uhuru na haki za binadamu ambalo nalo lilikuja baada ya Tanzania kupata uhuru.
Pili ni pale Bashiru alipoiponda sera ya majimbo ya Mh Tundu Lissu na chadema. Km kawaida mbeba maono huyu mwenye uwezo mkubwa na kushawishi na kujenga hoja hakusita kumshangaa Bashiru hasa kiwango chake cha akili anachokionyesha baada ya kuwa katibu mkuu wa chama dola ccm.....Akampa somo murua kabisa.
Ishu yangu ni je, Tundu Lissu anamaanisha nini anapomwambia Bashiru ana akili zaidi ya anazozionyesha?
Inamaana akiwa ccm anatumia akili zake kwa kiwango cha chini sn tofauti na awali alipokua mwalimu na mtu huru?
Je ni wangapi wapo km kina Bashiru wanatumia akili zao tofauti na zile zinazojulikana na wengi kwa vile tu wapo na wana vyeo ccm?
Check clip hiyo.... Je haya maoni ya Musiba kuhusu ili uwe mwana ccm ni lazima kua mnafiki wa kiwango cha phd yana ukweli?
NI KAULI YA KUFIKIRISHA. TUENDELEE KUTAFAKARI ZAIDI
@TunduALissu
Mosi ni pale Bashiru alipomdhihaki Mh Lissu juu ya sera yake ya Uhuru akirudia alichokisema Mkapa 2015 akisema Tanzania tayari iko huru kwa nini lissu anazungumzia Uhuru?
Bila ajizi na bila kupepesa Mh Lissu akitumia kipawa chake cha hali ya juu akamfundisha Bashiru na watz maana ya Uhuru akimnukuu Baba wa taifa kwenye kitabu chake cha Uhuru na Umoja alichokiandika baara ya tz kupata uhuru 1961. Lkn pia alirejea azimio la tz kuingiza kwenye katiba yake maswala ya Uhuru na haki za binadamu ambalo nalo lilikuja baada ya Tanzania kupata uhuru.
Pili ni pale Bashiru alipoiponda sera ya majimbo ya Mh Tundu Lissu na chadema. Km kawaida mbeba maono huyu mwenye uwezo mkubwa na kushawishi na kujenga hoja hakusita kumshangaa Bashiru hasa kiwango chake cha akili anachokionyesha baada ya kuwa katibu mkuu wa chama dola ccm.....Akampa somo murua kabisa.
Ishu yangu ni je, Tundu Lissu anamaanisha nini anapomwambia Bashiru ana akili zaidi ya anazozionyesha?
Inamaana akiwa ccm anatumia akili zake kwa kiwango cha chini sn tofauti na awali alipokua mwalimu na mtu huru?
Je ni wangapi wapo km kina Bashiru wanatumia akili zao tofauti na zile zinazojulikana na wengi kwa vile tu wapo na wana vyeo ccm?
Check clip hiyo.... Je haya maoni ya Musiba kuhusu ili uwe mwana ccm ni lazima kua mnafiki wa kiwango cha phd yana ukweli?
NI KAULI YA KUFIKIRISHA. TUENDELEE KUTAFAKARI ZAIDI
@TunduALissu