RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
Ukweli utabaki kuwa ukweli.Unscrupulous citizen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli utabaki kuwa ukweli.Unscrupulous citizen
Mwwnyekiti wake atakachoishia kufanya ni kufoka foka tu kama Kenge.Nyerere alikuwa akiendaga pale Nkrumah hall Udsm kufanya mijadala na wanataaluma, sasa huyu Bushiri hebu aige utaratibu huo na amshauri mwenyekiti wake pia aigilizie utamaduni huo wa kufanya mijadala na wasomi.
Hahaaaa....... Politics zinaondoa kabisa utimamu wa akili... ..... Lkn mtu mmoja tu Tundu Lissu hajawahi kutetereka kwenye kusimamia haki na raslimali za nchi....Lissu yuko sahihi kabisa, Bashiru ame 'assimilate' na mfumo wa CCM, kwenye system inayo adhibu wenye uthubutu na maarifa basi wajinga ndio wanaoshamiri, sasa kwakua Bashiru analinda ugali wake ni lazima ajifanye mjinga siku ipite.
Yaani umeandika point moja kubwa na ya msingi sn na ambayo ndio ukweli halisi👇👇Ni ujinga uliopitiliza kudhani kupenda CCM ni ujinga, ila kuwa na akili ni kupenda Chadema.
Na hii inafanya kufikiri kuwa Form six failure akiwa Chedema anaufahamu mkubwa kuliko Prof. aliyekuwa CCM.
Yaani ukitamka neno Chadema tuu na ufahamu wako unabadilika.
Mnajiaminisha Ujinga, Wajinga wamewafanya muamini Ujinga wao, na maisha yenu na muono wa kisiasa umejaa Ujinga uliopitiliza. Na wajanja waliokaa kisiasa na nyinyi wakaishi na nyinyi kwa muda wamegundua nini ni wajinga na ndio maana wanawakimbia.
Ccm wanakutumia km toilet paper wanakuacha..... Mifano ipo mingi snBashiru ....anapigania tumbo na Magufuli anapigania tumbo , siasa ndani ya ccm ni wizi mtupu ,
Mimi mjomba wangu kaishia darasa la V!! Ni katibu wa Uvccm hapo kemondo alipokuwa Bashiru anauza samaki, sasa wanamtumia kama karai kila uchaguzi ila awampi hata Shamba la mihogo kabaki kuwa karai.
Cha ajabu tunaambiwa wana phdJinga sana jamaa.....
Maccm yajitafakari..... Hii tabia ya kua km misukule hailisaidii taifa hiliKujibu kwa mihemuko wala hauwasaidii. Rudia kusoma nilichoandika halafu usome ulichoandika!
Hakuna aliyesema kuipenda CCM ni ujinga! Hoja ni kuwa kwa nini unapokuwa mwanaCCM unaanza kuongea ujinga ujinga na kuona watu wengine ni wajinga kiasi cha kuwa wanaweza kukubaliana na ujinga wenu!?
Phd wengi wa bongo ni mzigo kwa taifaNa ukihoji uhalali wa phd(PURE HEAD DAMEGE) zao wanakupoteza.... NINI HII?
Labda walikuwa wanasoma kwa kijapanKuna wengine hawawezi hata kuunganisha sentensi mbili za kiingereza sasa unajiuliza walikua wanasoma kwa kihutu?
Majibu yako haya yanashikiliwa na utafiti upi ulioufanya? Kama kweli unaongozwa kwa akili yako kuandika hivi, utakuwa mnafiki wa kiwango Cha juu Sana! Nani asiyejua na hakumsikia sumaye kipindi like akiwa waziri mkuu akisema kuwa, " ulitaka Mambo yako yaende sawasawa Basi Hina budi kuwa ccm"!Ni ujinga uliopitiliza kudhani kupenda CCM ni ujinga, ila kuwa na akili ni kupenda Chadema.
Na hii inafanya kufikiria kuwa Form six failure akiwa Chedema anaufahamu mkubwa kuliko Prof. aliyekuwa CCM. Chadema ndio imekuwa IQ Tester. Ukipata matokeo ya Pass-- Wewe Lissu kwa kuwa uko chadema ni mwerevu sana. Na Mwigulu aliyepata Fist Class kwa kuwa yupo CCM yeye ni mjinga. Akili ya mavi hiyo.
Yaani ukitamka neno Chadema tuu na ufahamu wako unabadilika.
Mnajiaminisha Ujinga, Viongozi wajinga wamewafanya muamini Ujinga wao, na maisha yenu na muono wenu waa kisiasa umejaa Ujinga uliopitiliza.
Na wajanja waliokaa na wakaishi nanyi kisiasa kwa muda mfupi tuu wamegundua ninyi ni wajinga na ndio maana wasomi wabobezi na mtajiri wanawakimbia kila uchao kwa ujinga wenu.
Mabadiliko ya nchi hii hayataletwa na wasomi wa PhD. Yateletwa na watu wa kitaani - ambao kwangu ndio mashujaa wangu. Katika mfumo huu chovu ambamo rais nu mungu-mtu, maPhd wamechukua mkondo wa kijipendekeza kwa watawala ili waendelee kuajiriwa na kuteuliwa, wanaangalia maslahi binafsi. Watu wakitaani hawana cha kupoteza na ndio askari wetu wa mstari wa mbele kuelekea kupata uhuru wa kweli, haki na maendeleo ya watu. Binafsi ninawapongeza askari hawa.Phd wengi wa bongo ni mzigo kwa taifa
Ccm inatakiwa kuendelea kutengeneza tabaka la watu wasio na chakupoteza. Hawa watu ni muhimu sana kwa mabadiliko ya kisiasa.Mabadiliko ya nchi hii hayataletwa na wasomi wa PhD. Yateletwa na watu wa kitaani - ambao kwangu ndio mashujaa wangu. Katika mfumo huu chovu ambamo rais nu mungu-mtu, maPhd wamechukua mkondo wa kijipendekeza kwa watawala ili waendelee kuajiriwa na kuteuliwa, wanaangalia maslahi binafsi. Watu wakitaani hawana cha kupoteza na ndio askari wetu wa mstari wa mbele kuelekea kupata uhuru wa kweli, haki na maendeleo ya watu. Binafsi ninawapongeza askari hawa.