Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Sukuma gang mnatapatapa Sana ila ndio hivyo no way out ,hiyo ngoma hadi 2030..Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.
Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
Umeandika pumba za kufikilika..Ngome ya CCM ni wasukuma except Mara.Wewe mburukenge unaijua kanda ya ziwa? Muulize huyo anayeongoza nchi akiwa Msoga.
mimi nipo kanda ya ziwa, sijaona mahali wanachuki na SamiaNjoo kanda ya ziwa njoo.
Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.
Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.
Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
Sukuma Gang hawaamini kua Uraisi ni ofisi na sio MagufuliNimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.
Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
GhanokoDhibitisha kama hakubaliki
So what? Watu na Lindi na Mtwara walimkataa JPM ila kuna Jimbo hata moja CUF au ACT walimzidi kura JPM?Watu wa kanda ya ziwa wana kitu moyoni
Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.
Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
Naona chawa wa mama wamepanic, to be Neutral SSH, ana kazi kubwa Kanda ya ziwa ndo ukweliNimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.
Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
Unakunywa kinywaji gani mkuu nikupatie muda huu?Naona chawa wa mama wamepanic, to be Neutral SSH, ana kazi kubwa Kanda ya ziwa ndo ukweli
nyie wawili ni wapumbavu sana yani mnataka kupongezana kwa huu ujinga wenu? sasa asipokibalika ndio nini? yeye atakua Rais.Unakunywa kinywaji gani mkuu nikupatie muda huu?
sio kanda ni tume ya uchaguzi ndio inayotoa uRais Magufuli angepigwa chini mapema kama mngekua na choice ya kuchagua.Ayatolah huna jipya. Lindi na Mtwara wana impact gani kwenye siasa za hapa Tanzania.
Unakumbuka kuwa watu wa kaskazini walikuwa hawamtaki Jakaya 2005? Lakini kanda ya ziwa wakampa urais.
Hata magu mulimtabiria kukaa madarakani saana, yuko wapi. Hata huyo chief wenu ni ana nyama na damu tuSukuma gang mnatapatapa Sana ila ndio hivyo no way out ,hiyo ngoma hadi 2030..
Ikifika 2025 usije kupotea humu.