Jiwe aliambiwa ukweli na wana Bukoba alipokwenda kuomba kura wakasema hawamtaki.Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.
Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
Huyo ni sukuma gang anataka kuwadanganya watanzani kuwa mama Samia hakubaliki.Dhibitisha kama hakubaliki
Hao wote ni sukuma gangawamu hii mtajinyea, mtu mwenye chuki kwa SSH ni mwendawazimu
Kufariki ni kesi nyingine ila tunazungumzia kushinda uchaguzi,huyo Mwendazake mwenyewe alishinda uchaguziHata magu mulimtabiria kukaa madarakani saana, yuko wapi. Hata huyo chief wenu ni ana nyama na damu tu
Ndio nakuelewesha whether watu wamkubali au wamkatae mgombea wa CCM haisaidii kitu maana anayeamua matokeo ni TISS sio kura zenu.Ayatolah huna jipya. Lindi na Mtwara wana impact gani kwenye siasa za hapa Tanzania.
Unakumbuka kuwa watu wa kaskazini walikuwa hawamtaki Jakaya 2005? Lakini kanda ya ziwa wakampa urais.
Never and never again for sukuma gang. Washenzi Sana hawaSukuma gang mnatapatapa Sana ila ndio hivyo no way out ,hiyo ngoma hadi 2030..
Ikifika 2025 usije kupotea humu.
Tuache porojo, Samia ana mtihani kanda ya ziwa. Watu wengi wanampuuza sana. Wana kinyongo naye. Wengi humu wanampuuza mleta mada kwa hisia tu. Tuulizeni sisi tulioko huku
Sasa tufanyeje waTanzania ili na huyu TISS naye amchoke CCM, kama kweli ndiye muamzi wa mwisho!Ndio nakuelewesha whether watu wamkubali au wamkatae mgombea wa CCM haisaidii kitu maana anayeamua matokeo ni TISS sio kura zenu.
Jinsi nchi yetu ilivyo kwa sasa, kama "wafanya biashara na familia za kitawala" wanamkubali, basi kiongozi huyo hana wasiwasi wowote na nafasi yake.Uwanja ni mkubwa lakini watu wachache mno.
Inasikitisha mno.
Namna mkuu wa nchi asivyo na support ya wananchi anaowaongoza.
Isipokuwa kwa wafanyabiashara na familia za kitawala.
Kama unaamini ushindi wa mwendazake basi wewe sio level yanguKufariki ni kesi nyingine ila tunazungumzia kushinda uchaguzi,huyo Mwendazake mwenyewe alishinda uchaguzi
Wewe mburukenge unaijua kanda ya ziwa? Muulize huyo anayeongoza nchi akiwa Msoga.
CCM ni unafikiNimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.
Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
Katiba mpya IliSasa tufanyeje waTanzania ili na huyu TISS naye amchoke CCM, kama kweli ndiye muamzi wa mwisho!
Huyo TISS hayo hayaoni na kuyazuia?Katiba mpya Ili
1.Tume huru
2.Mahakama huru
3.Haki ya kupinga matokeo ya Urais kortini.
4.Rais hatokua na haki ya kuvunja bunge likipinga sera zake.
5. Wakurugenzi kutosimamia chaguzi kuu.
Hayo yanaweza saidia kupunguza ushawishi wa TISS kwenye matokeo ya mwisho. Rejea chaguzi za Kenya baada ya katiba mpya walau Zina reflect maoni ya wananchi.
mama sasa hivi anakubalika kila kona mmebaki wachache sana mnao piga kelele mitandaoniNimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.
Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
hakuhna kitu kama hicho huo ni uroho wa madaraka tu acheni ccm ipige kaziKatiba mpya Ili
1.Tume huru
2.Mahakama huru
3.Haki ya kupinga matokeo ya Urais kortini.
4.Rais hatokua na haki ya kuvunja bunge likipinga sera zake.
5. Wakurugenzi kutosimamia chaguzi kuu.
Hayo yanaweza saidia kupunguza ushawishi wa TISS kwenye matokeo ya mwisho. Rejea chaguzi za Kenya baada ya katiba mpya walau Zina reflect maoni ya wananchi.