Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mimi binafsi ningemshauri, aifanye polisi isimame kama chombo huru kinachofanya mambo yake kwa mujibu wa kanuni ambazo zipo, na kisiwe chombo ambacho kinapokea maagizo kutoka taasisi zingine za kiusalama mfano tiss kuipa kazi polisi, pengine jukumu lilipaswa kushughulikiwa na tiss wenyewe!,
Polisi izingatie mipaka yake ya kiutendaji, kuchunguza, kupeleleza, kukamata, na kupeleka mahakamani,
Magereza jeshi, ni jeshi lisilovuka mipaka yake ya kikazi, basi na taasisi zote za kiusalama, kuwa na utii wa kuheshimu mipaka yao ya kikazi,
#-Tumsaidie juu ya kipi Kifanyike ili kuondosha woga, na tafarani zilizopo na zinaziendelea, ambazo zingine zimeanza kusababisha majanga!
Polisi izingatie mipaka yake ya kiutendaji, kuchunguza, kupeleleza, kukamata, na kupeleka mahakamani,
Magereza jeshi, ni jeshi lisilovuka mipaka yake ya kikazi, basi na taasisi zote za kiusalama, kuwa na utii wa kuheshimu mipaka yao ya kikazi,
#-Tumsaidie juu ya kipi Kifanyike ili kuondosha woga, na tafarani zilizopo na zinaziendelea, ambazo zingine zimeanza kusababisha majanga!