Bashungwa hutoshi!

Bashungwa hutoshi!

MECHI YA YANGA NA AZAM ILISOGEZWA MBELE - ikatolewa sababu.
MECHI YA BIASHARA NA YANGA ILISOGEZWA MBELE - ikatolewa sababu.

MECHI YA SIMBA NA YANGA IMESOGEZWA MBELE - haijatolewa sababu ( WHY.!!)? @Tanfootball

NCHI NZIMA HATUJUI SABABU ZAIDI YA WAZIRI WA MICHEZO TU- @innobash
 
kujiudhuru hawezi sababu aliyemteuwa ndiye aliyempa maelekezo

mambo mengine ni kujiongeza tu
 
tatizo kulazimisha Legasi. Siku hizi kila mstaafu ambaye anaona kama legasi yake haizungumziwi basi anaibuka na kuandika andika mavitabu yanayoitwa Maisha yake binafsi
Halafu humo ndo wanakiri makosa yao.. na kufyatuana na viongozi wenzao.. na hata wakati mwingine kusema usaliti wa wenzao kwao
 
Kuna kutolewa kafala
na hadi hapa tulipofika bashungwa ameshatolewa kafala 😅😅😅😅

ila kuna mambo yanaumiza sometimes 😅 unapewa maagizo na mkubwa wako ambayo kuyakataa huwezi na fika unajua hayo maagizo yanaenda kukufanya kuonekana wewe ni wa hovyo kupitiliza
 
Bashungwa hatoshi wala hatosheki hivyo hatojiuzulu kwani nimroho wa madaraka na hajielewi
 
Mimi si mpenzi kinda kinda wa Yanga lakini huwa naifuatilia sana.

Leo ilikuwa tuwafunge Simba ila pambano likaahirishwa kutokana na kujitokeza kwa shughuli nyingine ghafla ya kuzindua kitabu cha Mzee Ruksa.

Tatizo langu liko hapo!
Taratibu za kuahirisha pambano inabidi taarifa itoke masaa 24 kabla.
Sasa haya tunayoyaona niuswahili uliokithiri.
Hatuwezi kwenda namna hii.

Taarifa ya shughuli ya Mzee Ruksa haikujulikana mapema?

Usumbufu wa taratibu za maandalizi, wapenzi na mashabiki kufika na kuingia uwanjani mapema kuzuia kukanyagana milangoni, matayarisho yawalinzi wetu, wapenzi wameingia jijini toka mikoani, gharama zote hizi nani analipa?

Wizara husika na michezo imeleta furugu kwa wapenzi wa mpira YANGA na SIMBA.

Waziri na Wizara ikicheza na miamba hii ya soka nchini , hautaeleweka kamwe.

Na hapo ndio nasema Bashungwa anatakiwa kuwajibika, hatoshi.

View attachment 1777815
Nimemsikia Waziri Mkuu Majaliwa alitoa Rais Bungeni ati TFF itoe sababu ya pambano la Yanga na Simba kuahirisha.
Utafikiri hamjui kilichotokea!
 
Mimi si mpenzi kinda kinda wa Yanga lakini huwa naifuatilia sana.

Leo ilikuwa tuwafunge Simba ila pambano likaahirishwa kutokana na kujitokeza kwa shughuli nyingine ghafla ya kuzindua kitabu cha Mzee Ruksa.

Tatizo langu liko hapo!
Taratibu za kuahirisha pambano inabidi taarifa itoke masaa 24 kabla.
Sasa haya tunayoyaona niuswahili uliokithiri.
Hatuwezi kwenda namna hii.

Taarifa ya shughuli ya Mzee Ruksa haikujulikana mapema?

Usumbufu wa taratibu za maandalizi, wapenzi na mashabiki kufika na kuingia uwanjani mapema kuzuia kukanyagana milangoni, matayarisho yawalinzi wetu, wapenzi wameingia jijini toka mikoani, gharama zote hizi nani analipa?

Wizara husika na michezo imeleta furugu kwa wapenzi wa mpira YANGA na SIMBA.

Waziri na Wizara ikicheza na miamba hii ya soka nchini , hautaeleweka kamwe.

Na hapo ndio nasema Bashungwa anatakiwa kuwajibika, hatoshi.

View attachment 1777815
Nasikia ametumbuliwa? Mwenye ufahamu atufahamishe
 
Back
Top Bottom