JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
hiyo haihitaji uwanamichezo ni akili tu. Magufuli kawafundisha kutotumia akili badala yake kukurupukaAliyemteua ndo hatoshi na siyo mwanamichezo
Inasikitisha sanahiyo haihitaji uwanamichezo ni akili tu. Magufuli kawafundisha kutotumia akili badala yake kukurupuka
Halafu humo ndo wanakiri makosa yao.. na kufyatuana na viongozi wenzao.. na hata wakati mwingine kusema usaliti wa wenzao kwaotatizo kulazimisha Legasi. Siku hizi kila mstaafu ambaye anaona kama legasi yake haizungumziwi basi anaibuka na kuandika andika mavitabu yanayoitwa Maisha yake binafsi
Kuna kutolewa kafalakujiudhuru hawezi sababu aliyemteuwa ndiye aliyempa maelekezo
mambo mengine ni kujiongeza tu
na hadi hapa tulipofika bashungwa ameshatolewa kafala π π π πKuna kutolewa kafala
ni namna ya kuungama dhambi kwa unafiki. Mkapa alifanya hivyo hakumaliza miezi sitaHalafu humo ndo wanakiri makosa yao.. na kufyatuana na viongozi wenzao.. na hata wakati mwingine kusema usaliti wa wenzao kwao
Nimemsikia Waziri Mkuu Majaliwa alitoa Rais Bungeni ati TFF itoe sababu ya pambano la Yanga na Simba kuahirisha.Mimi si mpenzi kinda kinda wa Yanga lakini huwa naifuatilia sana.
Leo ilikuwa tuwafunge Simba ila pambano likaahirishwa kutokana na kujitokeza kwa shughuli nyingine ghafla ya kuzindua kitabu cha Mzee Ruksa.
Tatizo langu liko hapo!
Taratibu za kuahirisha pambano inabidi taarifa itoke masaa 24 kabla.
Sasa haya tunayoyaona niuswahili uliokithiri.
Hatuwezi kwenda namna hii.
Taarifa ya shughuli ya Mzee Ruksa haikujulikana mapema?
Usumbufu wa taratibu za maandalizi, wapenzi na mashabiki kufika na kuingia uwanjani mapema kuzuia kukanyagana milangoni, matayarisho yawalinzi wetu, wapenzi wameingia jijini toka mikoani, gharama zote hizi nani analipa?
Wizara husika na michezo imeleta furugu kwa wapenzi wa mpira YANGA na SIMBA.
Waziri na Wizara ikicheza na miamba hii ya soka nchini , hautaeleweka kamwe.
Na hapo ndio nasema Bashungwa anatakiwa kuwajibika, hatoshi.
View attachment 1777815
Hiyo inaitwa passing the buck!Nimemsikia Waziri Mkuu Majaliwa alitoa Rais Bungeni ati TFF itoe sababu ya pambano la Yanga na Simba kuahirisha.
Utafikiri hamjui kilichotokea!
Nasikia ametumbuliwa? Mwenye ufahamu atufahamisheMimi si mpenzi kinda kinda wa Yanga lakini huwa naifuatilia sana.
Leo ilikuwa tuwafunge Simba ila pambano likaahirishwa kutokana na kujitokeza kwa shughuli nyingine ghafla ya kuzindua kitabu cha Mzee Ruksa.
Tatizo langu liko hapo!
Taratibu za kuahirisha pambano inabidi taarifa itoke masaa 24 kabla.
Sasa haya tunayoyaona niuswahili uliokithiri.
Hatuwezi kwenda namna hii.
Taarifa ya shughuli ya Mzee Ruksa haikujulikana mapema?
Usumbufu wa taratibu za maandalizi, wapenzi na mashabiki kufika na kuingia uwanjani mapema kuzuia kukanyagana milangoni, matayarisho yawalinzi wetu, wapenzi wameingia jijini toka mikoani, gharama zote hizi nani analipa?
Wizara husika na michezo imeleta furugu kwa wapenzi wa mpira YANGA na SIMBA.
Waziri na Wizara ikicheza na miamba hii ya soka nchini , hautaeleweka kamwe.
Na hapo ndio nasema Bashungwa anatakiwa kuwajibika, hatoshi.
View attachment 1777815