Bashungwa: Tozo zimejenga vituo vya afya 234

Nchi letu limekuwa la kipumbavu tangu akivyofariki JPM. Pamoja na kwamba mzee Naye alikuwa mnoko lakini kuna mambo alikuwa vizuri kuliko hizi takataka zingine! Ujenzi wote huo wanasema ni za tozo wakati kulikuwa na US$ 1.3m kutoka WB! Pia kulikuwa na pesa ya uviko 19, wasitufanye sisi ni mataahira! Pumbavu kabisa!
 
Walio na Phd ndani ya ccm ni wale wenye diploma kule chadema.
 
Wanatutia hasira tu!
Mfumo uliopo Tanzania ni viongozi 10 wa ccm waliopo kwenye nafasi za juu serikalini na ndani ya chama, hao wanawamiliki watu milion zaidi 50 wasio na uelewa na walio 10 senior staffs wanadai wana wanachama wengi kumbe wale walio wanachama ni wachumia tumbo.
Tukitaka kufanikiwa Tanzania na tutoke kwenye umaskini mkubwa
1. MaRc, madc na maded wapigiwe kura na wananchi kama wabunge
Hapa kutakuwepo na nidhamu na uwajibikaji mkubwa. Kwa sasa voongozi hao ni makada wa chama.
2. Nafadi ya IGP itangazwe na watu waombe.
3. Mawaziri kabla hawajaapishwa wapigiwe kura na wabunge .
3. Jaji mkuu wafanyiwe usaili kupatiksna kwao.
4. Wakurugenzi wa bodi na wenyeviti waombe kazi hizo na wafanyiwe usaili.
5. Habari ya muungano tuwe na serikali tatu ili tiheshimiane kila mtu atawale kwake.
6. Habari ya jinsua 50/50 watu wakutane kwenye usaili na sio kugawana nafasi muhimu kisingizio 50/50
7. Ubunge viti maalum wapigiwe kura kama walivyo wabunge wengine
8. Kuweo na nafasi za wagombea binafsi kwa nafasi za udiwani,ubunge na urais
 
Kwani huko vijijini ndio wanataka kukatwa hiyo tozo?
Ndio maana inawasaidia wao maana na mimi Niko kijijini..

Mnadekezwa Sana awamu hii, Mwendazake angekuwepo hapa hakuna mdomo mungenyanyua maana pesa mliporwa na mliufyata.
 
Hivi nikiwa kama mwanaccm nitakitetea vipi chama chama changu kama mambo yenyewe ndo haya ambayo hata asiye na akili anaelewa kuwa ni wizi wa mchana.
Yaani tunaomba mikopo kwa ajili ya Madarasa na Mahospital ndani ya mwaka mmoja then inaingia tena Tozo kwa ajili ya kujenga hichohicho kilichochukuliwa mkopo.
Tuseme wizi unafanyika mpaka mnasahau namna ya kuiba.
Hii ni hatari kubwa sana kwa kweli sasa hivi upinzani unanihusu siwezi kuongozwa na mijizi isiyokuwa na kumbukumbu.
Ila Mungu anayaona mnayotufanyia
 

Hao uliowataja ni products za Magufuli, hivyo ni lazima watumie uongo ule ule, maana wamejiaminisha kuwa Magufuli alipendwa kwa zile propaganda zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…