Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu. Kutoka 1:8-10

baba anjela

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
431
Reaction score
310
8 Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.

9 Akawaambia watu wake, Angalieni, watu wa wana wa Israeli ni wengi tena wana nguvu kuliko sisi.

10 Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii. ....
 
Amen
 
Wasukuma hivi wanaendeleaje? Wamebaki wangapi Barazani?
 
... title rasmi ya wafalme wa Misri walijulikana kama Farao (au Firauni kwa wale wa lugha za ukakasi).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…