GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
Ninakwepa kufika Usiku. Nataka nifike kabla ya saa kumi na mbili Jioni.Hapo Mwanza kuna basi inaitwa Friends inaenda mpaka Kampala. Inaondoka asubuhi mnafika usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninakwepa kufika Usiku. Nataka nifike kabla ya saa kumi na mbili Jioni.Hapo Mwanza kuna basi inaitwa Friends inaenda mpaka Kampala. Inaondoka asubuhi mnafika usiku
🙏🙏🙏Chukua Friends chap mpaka Kampala Bakuli
Nauli ya efu 30 unabargain na bado unaenda nje ya nchi?😡😡😡Dah hizo bus raha anakaa pembeni mutoto muzuri.....na uzuri wa pande hizo kukuta mdada hana kijungu jiko ni ngumu....nilipandaga toka kampala kwenda bukoba mutoto alikua anaenda mwanza dah nilitamani nipitilize mpaka mwanza vitu vimetick halafu inabidi ushuke
Nasikia ndio kiwanja kinachokimbiza bkb sikuhizi,vipi Turning point bado ipo?Ukikosa usafiri zama Reo de Jenairo ugonge vyupa na totoiz
Panaitwa tan point, pameshasahaulika kabisaNasikia ndio kiwanja kinachokimbiza bkb sikuhizi,vipi Turning point bado ipo?
Umekula maharagwe ya wapiNauli ya efu 30 unabargain na bado unaenda nje ya nchi?😡😡😡
Kama huoni tatizo hapo, basi omba ulipiwe. Seems huna akili akili kabisa.Umekula maharagwe ya wapi
Acha kukurupuka halafu hata hujajishtukiaKama huoni tatizo hapo, basi omba ulipiwe. Seems huna akili akili kabisa.
JETINA Sio Argentina Mkuu.Halafu mutukula basi unaondoka saa Tisa alfajiri Kampala saa 2 asubuhi , ukifika kampala ulizia soko linaitwa owino , ukifika hapo Pana lodge ya ghorofa vyumba25k hadi 30k inaitwa Argentina ndio uanzie mitikasi hapo
Hiki kiwanja kinanadiwa sana mtandaoni. Nije nishukepo bhana nikajionee kwa machoUkikosa usafiri zama Reo de Jenairo ugonge vyupa na totoiz
Chotera kalisizo sh. Ngapi?Kama utasubiri bukoba basi itapanda friends za kutokea Mwanza to kampala , lakini ungesogea mtukula mapema au jioni ukilala pale mtukula asubuhi saa 11 unaondoka na saa nne asubuhi uko kampala,