PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hahahaha 😂😂😂😂 aibu sanaaa hiiiAisee,hata St.Kayumba nadhani hujapita.Kwa ufahamu huu ni noma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 😂😂😂😂 aibu sanaaa hiiiAisee,hata St.Kayumba nadhani hujapita.Kwa ufahamu huu ni noma sana.
Sio za kufaulishwa?,IPO inayo unga moja kwa moja?Sajda, Superfeo/Selous Nenda Stand Kuu Mbeya utapata usafiri ni bwerere
Wahi za Mbinga - Songea - Sumbawanga ili ukalale Songea kupunguza umbali wa safari.Nilikuwa nataka nifahamua na bei yake kabisa ili nijipange mazima nikitoka huku wilayani.. nikifika hapo Green City kesho yake niamshe mapema.
Ndio nasikia inaanza kujengwa mwaka huu kutoka MbambaMbambay(sijui inaitwa hivyo.!!)
Ila tuta ilimokuwa imepita reli lipo baadhi ya sehemuIling'olewa kumzuia MRENO....
Baraka na Maning wao wanaanzia Tunduru kuelekea Masasi Lindi na DarKupitia Njombe mapema sana masasi, vipi Manning Nice na Baraka hawapo hio route Mbeya-Masasi-Mtwara