Basi kutoka Dar es Salaam to Lubumbashi, DRC

Basi kutoka Dar es Salaam to Lubumbashi, DRC

Rwebo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2015
Posts
1,418
Reaction score
1,820
Wakuu naomba kujua ni mabasi gani yanayo kwenda Lubumbashi, nauli zake na siku gani yanaondoka. Shukran sana
 
Mkuu hapo ikola ziwa halijafika ktk hiyo stend yenu kweli??niliwahi shuhudia hapo ziwani uchawi unafanyika mchana kweupe kabisa saa tisa mchana!!!
Nyumba nyingi zimemezwa na Tanganyika huku uchawi ni jadi..yaani ni kipaji.....ila ukinywa maji ya baraka kutoka Sinagogi la Kalema Hurogwi...
 
Nyumba nyingi zimemezwa na Tanganyika huku uchawi ni jadi..yaani ni kipaji.....ila ukinywa maji ya baraka kutoka Sinagogi la Kalema Hurogwi...
Nilikuwa hapo , kipindi fulani kulikuwa na mgambo wanakuja kukamata nyavu na kuzichoma moto, ndipo likafanyika bonge la tambiko, mchana kweupe hadi nikaogopa!!nilishi kwa uoga sana, kwanza kutoka mpanda hadi kufika hapo mmm!!!
 
Back
Top Bottom