Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taqwa / falcon hao ndio waendaji wa Lubumbashi kwa sasa sina kumbukumbu sawa ya nauli ila range kuanzia dola 100Wakuu naomba kujua ni mabasi gani yanayo kwenda Lubumbashi, nauli zake na siku gani yanaondoka. Shukran sana
Asante mkuuTaqwa / falcon hao ndio waendaji wa Lubumbashi kwa sasa sina kumbukumbu sawa ya nauli ila range kuanzia dola 100
Sema sifahamu mkuu, magari yapo.hakunaga
Hili linatoka Dar siku gani mkuuClassic bus
Nauli ni tsh.165, 000 , ila siku nimeisahau ila fika mbezi wana ofisi yao pale,Hili linatoka Dar siku gani mkuu
Nauli ni tsh.165, 000Taqwa / falcon hao ndio waendaji wa Lubumbashi kwa sasa sina kumbukumbu sawa ya nauli ila range kuanzia dola 100
Mkuu hapo ikola ziwa halijafika ktk hiyo stend yenu kweli??niliwahi shuhudia hapo ziwani uchawi unafanyika mchana kweupe kabisa saa tisa mchana!!!Njoo Karema au Ikola nikama kupiga samasoti....
Nyumba nyingi zimemezwa na Tanganyika huku uchawi ni jadi..yaani ni kipaji.....ila ukinywa maji ya baraka kutoka Sinagogi la Kalema Hurogwi...Mkuu hapo ikola ziwa halijafika ktk hiyo stend yenu kweli??niliwahi shuhudia hapo ziwani uchawi unafanyika mchana kweupe kabisa saa tisa mchana!!!
Nilikuwa hapo , kipindi fulani kulikuwa na mgambo wanakuja kukamata nyavu na kuzichoma moto, ndipo likafanyika bonge la tambiko, mchana kweupe hadi nikaogopa!!nilishi kwa uoga sana, kwanza kutoka mpanda hadi kufika hapo mmm!!!Nyumba nyingi zimemezwa na Tanganyika huku uchawi ni jadi..yaani ni kipaji.....ila ukinywa maji ya baraka kutoka Sinagogi la Kalema Hurogwi...
Uchawi wao wana usomea Kongo huko misitu mizito...haswa MazingaombweNilikuwa hapo , kipindi fulani kulikuwa na mgambo wanakuja kukamata nyavu na kuzichoma moto, ndipo likafanyika bonge la tambiko, mchana kweupe hadi nikaogopa!!nilishi kwa uoga sana, kwanza kutoka mpanda hadi kufika hapo mmm!!!
Mkuu nataka nije Kuna mtu ananiletea dharauNyumba nyingi zimemezwa na Tanganyika huku uchawi ni jadi..yaani ni kipaji.....ila ukinywa maji ya baraka kutoka Sinagogi la Kalema Hurogwi...
BalaaUchawi wao wana usomea Kongo huko misitu mizito...haswa Mazingaombwe
Asije akaenda MobaNjoo Karema au Ikola nikama kupiga samasoti....
Mrahisishie,mwambie apande Basi hadi Mpanda Katavi then afike Kalema au Ikola achukue boti dakika sifuri yupo LUBUMBASHINjoo Karema au Ikola nikama kupiga samasoti....