Basi la Abiria la Nguruko imegonga Treni ya Mizigo, mabehewa matano yaanguka

Basi la Abiria la Nguruko imegonga Treni ya Mizigo, mabehewa matano yaanguka


Basi la Abiria la Nguruka T545 D/W imegonga Treni ya Mizigo Y611 na kusababisha mabehewa matano kati ya 30 ya treni hiyo kuanguka na abiria 14 wa basi hilo kupata majeraha madogo

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) imesema ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia Novemba 10, 2024 majira ya saa 4:20 usiku katika makutano ya reli na barabara kati ya Malagarasi na Nguruka, mkoani Kigoma

Taarifa hiyo imedai kuwa chanzo cha ajali hiyo kilitokana na dereva wa basi kulipita basi lingine lililokuwa limesimama ili kupisha treni na kusababisha ajali
Basi la AN classic imegonga treni usiku wa kuamkia Leo huko Kigoma.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCMKIDXqsx5/?igsh=MWZlZzdidjA2YmVhdQ==
 
kuna kafara zingine..mmiliki akifa na mali zake hufa kwa mtiririko tu...poleni sana
 
Dereva alipe gharama za kuinua hayo mabehewa halikadhalika alipe fidia kwa abiria wake.
Mngese sana huyo Davoo uchwara..))!!)()(
 
Ivi nyie hamna akili, kila kitu eti magufuli aliweza kudhibiti kuliko Samia, kwaiyo tuwasaidie nini sasa??maana ndio ayupo kashakufa uyo mungu wenu,na Samia ndio rais
Punguza makasiriko...Na wewe msifu Samia kwa mambo mazuri anayofanya(kama yapo) ili ku-balance hoja.
 

Basi la Abiria la Nguruka T545 D/W imegonga Treni ya Mizigo Y611 na kusababisha mabehewa matano kati ya 30 ya treni hiyo kuanguka na abiria 14 wa basi hilo kupata majeraha madogo

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) imesema ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia Novemba 10, 2024 majira ya saa 4:20 usiku katika makutano ya reli na barabara kati ya Malagarasi na Nguruka, mkoani Kigoma

Taarifa hiyo imedai kuwa chanzo cha ajali hiyo kilitokana na dereva wa basi kulipita basi lingine lililokuwa limesimama ili kupisha treni na kusababisha ajali
Rafu tu kama rafu nyingine.
 
Duh AN wanatoa kafara gani? Juzi Tu nyingine EGU imeingia porini, mwezi uliopita nyingine ikaondoka na mmiliki
Huyu AN, ukiona gari yake anayotembelea ni mbovu balaa, ( spana mkononi) na hajawahi kubadilisha gari tangu baba ake afariki... 🙂 🙂
 
Back
Top Bottom