Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Hili basi linalobeba wachezaji wa timu ya soka ya Kagera sugar limepaki pembeni ya barabara ya Morogoro-Dodoma maeneo ya Kihonda kwa muda wa mwezi mmoja sasa.
Nadhani litakuwa na hitilafu, kwanini wasilipeleke kupaki gereji kwa kuvutwa au kupakiwa kenye yale magari maalum.
Hofu yangu lisije kuwa chanzo cha ajali kwa watumiaji wa barabara hiyo hasa nyakati za usiku.
Askari wa usalama barabarani mkoa wa Morogoro hamlioni hili?.
Nadhani litakuwa na hitilafu, kwanini wasilipeleke kupaki gereji kwa kuvutwa au kupakiwa kenye yale magari maalum.
Hofu yangu lisije kuwa chanzo cha ajali kwa watumiaji wa barabara hiyo hasa nyakati za usiku.
Askari wa usalama barabarani mkoa wa Morogoro hamlioni hili?.