Basi la Klabu ya Simba lapata ajali Zambia baada kugongana na Lori

Kuna mijitu inaishi zama za giza. Eti kafara my foot. Huyu mjinga wanadamu wenzako wanapata ajali unahusisha na upumbavu wako na uvivu wa kufikiri.
Mkuu wasamehe tu ndo akili zao zimeishia hapo
 
yaani simba kwa kuendekeza ushirikina hawajambo, onaaa sasaaa mashabiki maandazi na wanachama walikuwa watolewa naniii ili litim lao la ovyo ovyo lishindee..................
Weka maneno ya akiba.
Mdomo wako unatoa maneno ya kunuka kama choo cha shimo!!!
 
Reactions: Tui
Kuna mijitu inaishi zama za giza. Eti kafara my foot. Huyu mjinga wanadamu wenzako wanapata ajali unahusisha na upumbavu wako na uvivu wa kufikiri.
Yaani watu wengine wasamehe bure. Hekima zimewapita mbali, chembe za huruma hazimo kabisa akilini mwao.
 
Weka maneno ya akiba.
Mdomo wako unatoa maneno ya kunuka kama choo cha shimo!!!
Kwani hujui kuwa hilo litimu la simba lilianzishwa na mganga wa kienyeji mwanamke, kila jioni alikuwa akisimika bendera nyekundu juu ya likichuguu likubwa apo mtaa wa msimbazi, sasa huo ushirikina adi leo!
 
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Ushindi Lazima Pia
Safari Kubwa Sana Ni Ushindi
 
Ushabiki wa kijinga huo, basi linaonekana wazi limeligonga lori nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…