Basi la Klabu ya Simba lapata ajali Zambia baada kugongana na Lori

Basi la Klabu ya Simba lapata ajali Zambia baada kugongana na Lori

Kuna mijitu inaishi zama za giza. Eti kafara my foot. Huyu mjinga wanadamu wenzako wanapata ajali unahusisha na upumbavu wako na uvivu wa kufikiri.
Mkuu wasamehe tu ndo akili zao zimeishia hapo
 
yaani simba kwa kuendekeza ushirikina hawajambo, onaaa sasaaa mashabiki maandazi na wanachama walikuwa watolewa naniii ili litim lao la ovyo ovyo lishindee..................
Weka maneno ya akiba.
Mdomo wako unatoa maneno ya kunuka kama choo cha shimo!!!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kuna mijitu inaishi zama za giza. Eti kafara my foot. Huyu mjinga wanadamu wenzako wanapata ajali unahusisha na upumbavu wako na uvivu wa kufikiri.
Yaani watu wengine wasamehe bure. Hekima zimewapita mbali, chembe za huruma hazimo kabisa akilini mwao.
 
Weka maneno ya akiba.
Mdomo wako unatoa maneno ya kunuka kama choo cha shimo!!!
Kwani hujui kuwa hilo litimu la simba lilianzishwa na mganga wa kienyeji mwanamke, kila jioni alikuwa akisimika bendera nyekundu juu ya likichuguu likubwa apo mtaa wa msimbazi, sasa huo ushirikina adi leo!
 
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Ushindi Lazima Pia
Safari Kubwa Sana Ni Ushindi
 
Basi la klabu ya Simba SC, Wekundu wa Msimbazi, ambalo lililokuwa limewabeba wanachama na mashabiki wa timu hiyo kutoka Tanzania, likielekea mjini Ndola, limepata ajali baada ya kugongana na Lori maeneo ya Kapiri Mposhi nchini Zambia.

Kwa taarifa za awali haikufahamika mara moja chanzo cha ajali hiyo huku mashabiki na wanachama wakiwa wapo salama hakuna aliyeumia zaidi ya uharibifu wa gari hilo.

Simba SC itaingia uwanja wa Kalampa Kitwe nchini Zambia Jumamosi Disemba 15, 2018 kucheza na Nkana FC katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika.View attachment 968094
Ushabiki wa kijinga huo, basi linaonekana wazi limeligonga lori nyuma.
 
Back
Top Bottom