Basi la mashabiki lililoenda Lesotho lageuka la walevi na anasa. Hadi sasa hawajafika Dar toka watoke Lesotho

Basi la mashabiki lililoenda Lesotho lageuka la walevi na anasa. Hadi sasa hawajafika Dar toka watoke Lesotho

-Basi la mashabiki lililoenda Lesotho kuisapoti timu yetu ya Tanzania kwenye mchezo kufuzu Afcon 2019 kupitia Mbeya hadi Afrika Kusini sasa limegeuka basi la Walevi na wafanya Starehe. Basi hilo limeondoka Lesotho siku ya Jumatatu hadi sasa bado halijafika jijini Dar. Ikifika usiku kituo cha kupata chakula wanakaa hata masaa hata 7 wanakula, wanakunywa wanavyojisikia na wengine wanaenda Disco.

-Basi hilo limeingia Tanzania jana ila mwendo wa kutuka Tunduma hadi mbeya wanafanya wanajisikia ili hali kuna baadhi ya watu ambao ni waandishi wa habari wapo kwenye hilo basi na walikuwa na muda maalumu wa kurudi kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi ila kiongozi wa msafari naye ameingia kwenye mkumbo wa mashabiki na analifanya gari la taasisi kama mali yake ambaye imebeba walevi akiamua hata asimame mwanjela anunue Heiken Moja (mfano tu) sawa tu kwa kuwa yeye ni mkuu wa msafara.
Source: Yossima
Hujaona zuri kwao hata moja?
Tuwaunge mkono mashujaa wetu.
Kama wamerudi salama wote ni muhimu zaidi.
 
Wacha wa tumie vyao ungekua una nunua wewe hapo sawa, lakini bili ni kwao wacha walewe tu kwan nn bhana
 
Likifika ipogoro jaman waambie wapandishe mlima waje huku mjini. Kuna kijiwe kizuri sana kinaitwa sunset, kipo gangilonga mlimani. Watanikuta tayar Nisha wawekea kreti zao za kutosha.
cc sweetlo Kaiser
Asprin, Madame B, cacico, amu
Wakitoka sunset kesho waambie kuna nyama choma ingingilanyi tumeshawaandalia mashujaa wetu washangiliaji
 
-Basi la mashabiki lililoenda Lesotho kuisapoti timu yetu ya Tanzania kwenye mchezo kufuzu Afcon 2019 kupitia Mbeya hadi Afrika Kusini sasa limegeuka basi la Walevi na wafanya Starehe. Basi hilo limeondoka Lesotho siku ya Jumatatu hadi sasa bado halijafika jijini Dar. Ikifika usiku kituo cha kupata chakula wanakaa hata masaa hata 7 wanakula, wanakunywa wanavyojisikia na wengine wanaenda Disco.

-Basi hilo limeingia Tanzania jana ila mwendo wa kutuka Tunduma hadi mbeya wanafanya wanajisikia ili hali kuna baadhi ya watu ambao ni waandishi wa habari wapo kwenye hilo basi na walikuwa na muda maalumu wa kurudi kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi ila kiongozi wa msafari naye ameingia kwenye mkumbo wa mashabiki na analifanya gari la taasisi kama mali yake ambaye imebeba walevi akiamua hata asimame mwanjela anunue Heiken Moja (mfano tu) sawa tu kwa kuwa yeye ni mkuu wa msafara.
Source: Yossima

I wish na mimi ningekuwepo
 
-Basi la mashabiki lililoenda Lesotho kuisapoti timu yetu ya Tanzania kwenye mchezo kufuzu Afcon 2019 kupitia Mbeya hadi Afrika Kusini sasa limegeuka basi la Walevi na wafanya Starehe. Basi hilo limeondoka Lesotho siku ya Jumatatu hadi sasa bado halijafika jijini Dar. Ikifika usiku kituo cha kupata chakula wanakaa hata masaa hata 7 wanakula, wanakunywa wanavyojisikia na wengine wanaenda Disco.

-Basi hilo limeingia Tanzania jana ila mwendo wa kutuka Tunduma hadi mbeya wanafanya wanajisikia ili hali kuna baadhi ya watu ambao ni waandishi wa habari wapo kwenye hilo basi na walikuwa na muda maalumu wa kurudi kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi ila kiongozi wa msafari naye ameingia kwenye mkumbo wa mashabiki na analifanya gari la taasisi kama mali yake ambaye imebeba walevi akiamua hata asimame mwanjela anunue Heiken Moja (mfano tu) sawa tu kwa kuwa yeye ni mkuu wa msafara.
Source: Yossima
Acha wapunguze mawazo maana kill kipigo sio POA kabisa
 
Hata wakiamua kuzunguka nchi zote za afrika mashariki poa tu hiyo ndo raha yenyewe ya ushabiki siyo uwanjani tu
 
Akili za kimasikini hizo,kwahiyo umekuja kushitaki humu ama..!?mambo mengine mlipotigi kwa mange sio kila kitu kina hadhi ya jf..hao waandishi kama wamechelewa si wapande takwa!!
 
Back
Top Bottom