Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu suala la usalama wa abiria na Mali zao kwenye ajali hiyo?Basi la Kampuni ya Shabiby inayofanya safari Sumbawanga-Dodoma ilipata ajali eneo la mizani ya Nkangamo Tunduma.
Kwa inavyoonekana na ni kama lilianguka lenyewe.
View attachment 3155913
usalama wa Abiria kwanza mali zinatafutwaVipi usalama wa abiria na Mali zao?
Ndio tunaangalia mheshimiwaVipi usalama wa abiria na Mali zao?
Kupanda basi ambalo ndio linazindua route Mpya ni hatari sana maana madereva wanakuwa hawana uzoefu na Barabara.Basi la Kampuni ya Shabiby inayofanya safari Sumbawanga-Dodoma ilipata ajali eneo la mizani ya Nkangamo Tunduma.
Kwa inavyoonekana na ni kama lilianguka lenyewe.
View attachment 3155913
Are you mentally stable?Siku zao zimefika. Apangacho mungu hakika mwanadamu hawezi pangua. So tusichoshane. Wafiwa wapewe uji maisha yaendelee
So then u agree kuwa its never gods plan but rather our own stupidity?Are you mentally stable?
Ukweli mzee wa mbususu uwa naenjoy ukiwa unajibizana kwa kingereza hapa jamvini una rafudhi Fulani ya kimasai.So then u agree kuwa its never gods plan but rather our own stupidity?
Kimasai how? Where? When? Kivipi?Ukweli mzee wa mbususu uwa naenjoy ukiwa unajibizana kwa kingereza hapa jamvini una rafudhi Fulani ya kimasai.
Ok ok continue
Mzee wa kibamia leo kachafukwaUkweli mzee wa mbususu uwa naenjoy ukiwa unajibizana kwa kingereza hapa jamvini una rafudhi Fulani ya kimasai.
Ok ok continue
Yaani vile unaflow na semantics na grammar yako .Kimasai how? Where? When? Kivipi?
Nilijua tuu hamtakosekana Watu kama nyie.Mwisho wa mwaka
Alryt unfortunately politic and i dnt mixYaani vile unaflow na semantics na grammar yako .
Ukitaka kujua namaanisha nini tafuta press yoyote ambayo lowasa alikuwa anaongea kingereza ujione