Mustaphagentleman JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 3,953 Reaction score 3,022 Jul 7, 2016 #141 Yugu said: umtaliii wewe au una kamchepuko hapo? Click to expand... Tabora kuna shangaz yangu
Yugu JF-Expert Member Joined Dec 18, 2014 Posts 1,080 Reaction score 329 Jul 7, 2016 #142 iyo ya kulala igunga afu siku ya pili tabora haijaniingia akilini ndo mana nikakuuliza.
Mustaphagentleman JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 3,953 Reaction score 3,022 Jul 7, 2016 #143 Ndo utaratibu wangu na pia ni kwa usalama wangu. Na Igunga pazur jaman eeeh
Mlaleo JF-Expert Member Joined Oct 11, 2011 Posts 14,809 Reaction score 11,825 Jul 7, 2016 #144 Ila wezi huwa ni wajinga wajinga kuna watakao kamatwa tu kwa hizo mali watakazoiba ndio zitawatoa kamasi
Ila wezi huwa ni wajinga wajinga kuna watakao kamatwa tu kwa hizo mali watakazoiba ndio zitawatoa kamasi