momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
Heh inamaana hii tetesi haikua yakweli mbona sioni muendelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado km 80 au 85 na zipo katikati ya Itigi na KigwaMimi sijapita ila kuna member hapa jamvini kasema haina lami,
Asante sana mkuu kwa kutupatia mwangaBado km 80 au 85 na zipo katikati ya Itigi na Kigwa
Tetesi imekuwa tetesi kweliHeh inamaana hii tetesi haikua yakweli mbona sioni muendelezo
Nani mkongwe barabara hiyo mkuuMbaya sana kama ujambazi huo umerejea.Duu Tabora One anapigwa vita sana njia hiyo ya tabora na mmiliki mkongwe wa njia hiyo,pia mmiliki wa tabora one alifariki miezi michache iliyopita basi ni balaa tupu.Waliobaki wasikate tamaa
Mabasi yalikatazwa kusafiri usiku... Maybe madereva wana michongo na majambazi kuwajaza kingi wasafiri usikuDah..mkuu...mie nadhani polisi wangeacha kwanza kusumbuana na wakina tundu lissu...badala yake wakafanye operesheni nzito ya kuwanasa hawa majambazi. Itakuaje wananchi wanakosa uhuru wa kusafiri usiku kwenye nchi yao? Africa mashariki yote hii wenzetu wanasafiri...ni sisi tu hili wimbi la majambazi limetushinda mpaka tumezuia safari za usiku. Inasikitisha sana
Lami bado km 84 tu pale pori la Nyahua.
acha porojo. unauhakika na haya unayoyasema?Mbaya sana kama ujambazi huo umerejea.Duu Tabora One anapigwa vita sana njia hiyo ya tabora na mmiliki mkongwe wa njia hiyo,pia mmiliki wa tabora one alifariki miezi michache iliyopita basi ni balaa tupu.Waliobaki wasikate tamaa
Mabasi yalikatazwa kusafiri usiku... Maybe madereva wana michongo na majambazi kuwajaza kingi wasafiri usiku
Duh! Nilikuwa sijacheka tokea asubuhi, hii imenifurahisha na kumalizia siku.Ukitaka askari wafike haraka eneo la tukio,wapigie kuwa UKAWA wanataka kuandamana.
Kijana acha ubishi wewe.Kilo mita ni sawa labda wingi wa abiria ila hio njia ya itigi manyoni tabora inatisha nilitembea masaa ma 4 network ya simu hamna
aisee siwangewabaka wanaume kwa nini wawaonee wanyonge kinamama zetuKuna taarifa kuwa Basi la Tabora One lifanyalo safari zake kati ya Dar na Tabora, limetekwa Jana usiku na abiria wote kunyang'anywa mali zao na kuna taarifa kuwa huenda wanawake wamefanyiwa vitendo vya ubakaji.
Ujenzi umesimama mkuu, maana fedha inategemea wafadhiri nafikiri ni QATAR ndiyo waliahidi kuimaliziaWanatandaza lami? Au ujenzi umesimama?
Mabasi yalikatazwa kusafiri usiku
umtaliii wewe au una kamchepuko hapo?Kama ni kweli basi huenda lilikuwa limeharibikia njiani ndiyo maana
Siku hiz nikiendaga Tabora napanda za Kahama nishuke Igunga nalala asubuh naamsha Tabora town kuna NBS za Tabora Town to Igunga pale Igunga unapata Kuku wa Kienyeji saafi
wanahusika pia katika kupanga diliHuyo dereva alitumia sana mazoea, hiyo njia haifai mkuu